MONA WA KYEN JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 345 Reaction score 273 Feb 19, 2017 #1 Msaada tafadhali, Kuna mtu kanunua kifurushi cha Star Times baada ya kuingiza vocha kinaonesha smart card error ndo nini? Na tufanye nini kioneshe?
Msaada tafadhali, Kuna mtu kanunua kifurushi cha Star Times baada ya kuingiza vocha kinaonesha smart card error ndo nini? Na tufanye nini kioneshe?
M mwamlgallah Member Joined Sep 27, 2016 Posts 83 Reaction score 52 Feb 19, 2017 #2 Set vizur mti kama siyo mti kamba inayo toka kwenye mti imekatika ndani/kama siyo hivyo nitafute 0757307765
Set vizur mti kama siyo mti kamba inayo toka kwenye mti imekatika ndani/kama siyo hivyo nitafute 0757307765
MONA WA KYEN JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 345 Reaction score 273 Feb 19, 2017 Thread starter #3 mwamlgallah said: Set vizur mti kama siyo mti kamba inayo toka kwenye mti imekatika ndani/kama siyo hivyo nitafute 0757307765 Click to expand... NGOJA NIFANYE HIVYO MKUU
mwamlgallah said: Set vizur mti kama siyo mti kamba inayo toka kwenye mti imekatika ndani/kama siyo hivyo nitafute 0757307765 Click to expand... NGOJA NIFANYE HIVYO MKUU
T TUTU wa Jijia JF-Expert Member Joined Jul 15, 2016 Posts 727 Reaction score 566 Feb 19, 2017 #4 MONA WA KYEN said: MSAADA TAFADHALI KUNA MTU KANUNUA KIFURUSHI CHA STAR TIMES BAADA YA KUINGIZA VOCHA KINAONESHA SMART CARD ERROR NDO NINI? NA TUFANYE NINI KIONESHE? Click to expand... Chomeka vzr umekosea kuna alama ukiigeuza itakuonesha jinsi ya kuweka. Alama kma niznavyokuwaga sim card
MONA WA KYEN said: MSAADA TAFADHALI KUNA MTU KANUNUA KIFURUSHI CHA STAR TIMES BAADA YA KUINGIZA VOCHA KINAONESHA SMART CARD ERROR NDO NINI? NA TUFANYE NINI KIONESHE? Click to expand... Chomeka vzr umekosea kuna alama ukiigeuza itakuonesha jinsi ya kuweka. Alama kma niznavyokuwaga sim card
MONA WA KYEN JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 345 Reaction score 273 Feb 19, 2017 Thread starter #5 jijayetu said: Chomeka vzr umekosea kuna alama ukiigeuza itakuonesha jinsi ya kuweka. Alama kma niznavyokuwaga sim card Click to expand... KILE KIALAMA SII KINAKAA KAMA UNAWEKA SIMCARD NAMAANISHA KINAANGALIA CHINI?
jijayetu said: Chomeka vzr umekosea kuna alama ukiigeuza itakuonesha jinsi ya kuweka. Alama kma niznavyokuwaga sim card Click to expand... KILE KIALAMA SII KINAKAA KAMA UNAWEKA SIMCARD NAMAANISHA KINAANGALIA CHINI?
MONA WA KYEN JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 345 Reaction score 273 Feb 19, 2017 Thread starter #6 mwamlgallah said: Set vizur mti kama siyo mti kamba inayo toka kwenye mti imekatika ndani/kama siyo hivyo nitafute 0757307765 Click to expand... NIMEJARIBU KWENYE TV NYINGINE KINAONESHA, NIMEJARIBU KUZUNGUSHA MTI BADO MKUU
mwamlgallah said: Set vizur mti kama siyo mti kamba inayo toka kwenye mti imekatika ndani/kama siyo hivyo nitafute 0757307765 Click to expand... NIMEJARIBU KWENYE TV NYINGINE KINAONESHA, NIMEJARIBU KUZUNGUSHA MTI BADO MKUU
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,879 Reaction score 14,832 Feb 19, 2017 #7 Mimi changu Station zote zinaonyesha,toka juzi nikiweka Clouds TV kinanitaka niweke Password!..sasa sijui tatizo nini?.
Mimi changu Station zote zinaonyesha,toka juzi nikiweka Clouds TV kinanitaka niweke Password!..sasa sijui tatizo nini?.