Msaada king'amuzi cha azam

Msaada king'amuzi cha azam

dumbu

Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
24
Reaction score
2
king'amuzi changu kimefuta channel za ndani mfno,ITV,clouds,eatv etc mwenye kujua jinsi ya kuzirudisha please
 
Yah zingine fresh kasoro za ndani ya Tanzania
 
Nimefanya hivo kaka lakini wapi nikajaribu kumwita Fundi wa kitaa kashindwa anadai mnara wa halotel umeingilia frequency za channel za bongo
 
Angalia kwanza kama signal zipo sawa, maana unaweza kukuta dish limeyumba. Chukua remote Bonyeza MENU--SEARCH--OK, kwenye screen angalia intensity na quality ni ngapi inatakiwa iwe 70/60, kama ipo chini ya hapo tafuta fundi dish. Kama ipo 70/60 bonyeza MENU--SEARCH--AUTOSEARCH--OK subiri utaona channel zina-searck ikifika 100% zitarudi zote
 
Msaada kwenye tuta.

Hivi kama umelipia pesa ya zaidi katika king'smuzi cha Azam kama elfu 40, elfu 28 wakata kama gharama yako ya kifurushi, ikabaki elfu 12 unaitaza kwa namba zipi na kujua kiasi kilichomo katika account yako?
 
Hiyo ya mnara wa halotel hata fundi aliekuja kunifungia mimi aliwahi kunigusia
 
Msaada kwenye tuta.

Hivi kama umelipia pesa ya zaidi katika king'smuzi cha Azam kama elfu 40, elfu 28 wakata kama gharama yako ya kifurushi, ikabaki elfu 12 unaitaza kwa namba zipi na kujua kiasi kilichomo katika account yako?

*150*50*5#
 
Nenda ofisi za Azam au wakala yeyote,au piga huduma kwa wateja watakusaidia.
 
Hata dish lilichezaga nikamfuata fundi
Akaniambia hela
Nikamuulizia jinsi ya kurekebisha. Nikaelewa nikaenda kujifungia mwenyewe

Hata wewe nakushauri kama utaweza funga mwenyewe fungua bolit ndogo utana signal imefunguka yenyewe
 
Msaada, ajamani king'amuzi changu dogo kaweka passowrd Kama, kuna fundi au mtalaam Wa kunisaidia anielekeze nampooza na ya maji hadi setting inaitaji password
 
Back
Top Bottom