marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,635
- 3,655
Wakuu hivi kuna tofauti gani kati ya pilipili hoho nyekundu au njano na hizi za kawaida? Je ni kweli bei yake ibatodautiana?
Nazipenda sana kwa salad
Wakuu hivi kuna tofauti gani kati ya pilipili hoho nyekundu au njano na hizi za kawaida? Je ni kweli bei yake ibatodautiana?
ndugu bei za mbegu za pilipili hoho ni kiasi gan na haswa zile za njano ja nyekunduHabari WanaJamiiForums, natafuta masoko ya pilipili mbuzi na hoho nina mzigo wa kutosha baada ya week 2. Mpaka sasa sijajua ntapeleka soko gani ni kilimo changu cha kwanza.
Ww ni mdau mwenye faida kwetu sote. Mungu akubarikiChief Ringson nicheki 0718589970 mzigo wa pili pili mbuzi wanted...
utofauti wake ni kwenye kukomaa...zikianza kukomaa zinaanza kuwa njano mpaka kua nyekundu...zikiwa green zinakua bado hazijakomaa....hope umenisoma...Wakuu hivi kuna tofauti gani kati ya pilipili hoho nyekundu au njano na hizi za kawaida? Je ni kweli bei yake ibatodautiana?
Nichek pili pili mbuzi pesa kabisa hiyo Mkuu 0763370175Habari WanaJamiiForums, natafuta masoko ya pilipili mbuzi na hoho nina mzigo wa kutosha baada ya week 2. Mpaka sasa sijajua ntapeleka soko gani ni kilimo changu cha kwanza.
Habari WanaJamiiForums, natafuta masoko ya pilipili mbuzi na hoho nina mzigo wa kutosha baada ya week 2. Mpaka sasa sijajua ntapeleka soko gani ni kilimo changu cha kwanza.
Ni shs. 95,000 kwa mbegu 500. Ila nimetaarifiwa kuna kampuni inauza tshs. 50,000 kwa mbegu 500.ndugu bei za mbegu za pilipili hoho ni kiasi gan na haswa zile za njano ja nyekundu
Mkuu hili zao mimi nalima tena sana tu kwnza kwa hiyo bajeti aliyoiweka ni ndogo sana mbegu tu kama unapanda mbegu chotara mf tycoon kwa hk 1 ni sh 250000 kukodisha shamba inategemea kiwango cha chini kbs ni 100000 kulimwa trekta tsh45000 kupiga halo tsh 40000 kulima matuta tsh 80000 mbolea ya kupandia kg100 =140000 vibarua wa kupanda tsh 50000 madawa ukungu+sumu=250000 mbolea kuumwa kg100 =tsh120000 mbolea kuzalishia kg100 =100000 ghalama za umwagiliaji namaanisha petrol tsh120000 palizi tsh100000 boy shamba tsh200000 ziada tsh 200000 soko inategemea na msimu kunakipindi gunia mmoja ni 80000-150000 kwa hk moja ukiitunza vizuri wastani wa maroba 20-30 kwa wiki pilipili hoho inavunwa kwa wastani wa miezi 3-6 inategemea na hali ya hewa
Mkuu soko lake kwa sasa lipoje?Soko lipo Chief kama upo Dar nenda soko la mabibo pale pili pili mbuzi utauza hata kama una roba mia.....asikudanganye mtu pili pili mbuzi zikishuka bei roba ni 45000-50000tshs....kuanzia November zinafika mpaka 240,000tshs kwa roba ya debe tano....
Na pilipili hoho je ? Ninao mzigo wa kutoshaMkuu soko lake kwa sasa lipoje?
Umelimia wapi?Na pilipili hoho je ? Ninao mzigo wa kutosha
Wataka limia wapi?Habari wana jamii naomba Muongozo wa kilimo cha pilipili mbuzi madawa. mbolea na taratibu zake hadi kuvuna
Mkuu unalimia wapi wanapokodisha mashamba na je hiyo laki moja ya kukodi ni kwa kipindi cha msimu mzima au ni kwa miezi mitatu mitatu? Natanguliza shukran.Mkuu hili zao mimi nalima tena sana tu kwnza kwa hiyo bajeti aliyoiweka ni ndogo sana mbegu tu kama unapanda mbegu chotara mf tycoon kwa hk 1 ni sh 250000 kukodisha shamba inategemea kiwango cha chini kbs ni 100000 kulimwa trekta tsh45000 kupiga halo tsh 40000 kulima matuta tsh 80000 mbolea ya kupandia kg100 =140000 vibarua wa kupanda tsh 50000 madawa ukungu+sumu=250000 mbolea kuumwa kg100 =tsh120000 mbolea kuzalishia kg100 =100000 ghalama za umwagiliaji namaanisha petrol tsh120000 palizi tsh100000 boy shamba tsh200000 ziada tsh 200000 soko inategemea na msimu kunakipindi gunia mmoja ni 80000-150000 kwa hk moja ukiitunza vizuri wastani wa maroba 20-30 kwa wiki pilipili hoho inavunwa kwa wastani wa miezi 3-6 inategemea na hali ya hewa