dre4691
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 549
- 516
Sio soko tu hoho hailimwi kwenye jua kali kuna kitu kinaitwa jua kali na hoho havipatani kabisa hakikisha shm haina mionzi ya jua manake kigambon kule si jua kama Dar , ushauri tuWanaukumbi
Naomba mawazo yenu nipo najiandaa kulima PILIPILI HOHO maeneo ya kigamboni katika OPEN FIELD heka 1 natumia umwagiliaji wa drip
Naomba msaada wa soko la pilipili hoho pamoja na mbegu ambayo inafaa kwa kilimo hiki
Wanaukumbi
Naomba mawazo yenu nipo najiandaa kulima PILIPILI HOHO maeneo ya kigamboni katika OPEN FIELD heka 1 natumia umwagiliaji wa drip
Naomba msaada wa soko la pilipili hoho pamoja na mbegu ambayo inafaa kwa kilimo hiki
Sio soko tu hoho hailimwi kwenye jua kali kuna kitu kinaitwa jua kali na hoho havipatani kabisa hakikisha shm haina mionzi ya jua manake kigambon kule si jua kama Dar , ushauri tu