Joseph msai
Member
- Aug 8, 2020
- 6
- 2
Mimi ni kijan mwenye umli wa miaka 22 ninaomba mchngo/msaada wenu wadau katika upnde wa uandkaji wa barua ya maomb ya kazi. Barua znatofautiana kwa upnde wangu mimi barua ninayoinzngumzia ni barua ya maomb ya kazi katika kampuni/shirika linalojiusisha na utoaji wa mikopo.
Kitu kikubwa ninachoomb ni vitu gani viwe suggested au vya mhimu ndani yakee. Asanteni.
Kitu kikubwa ninachoomb ni vitu gani viwe suggested au vya mhimu ndani yakee. Asanteni.