Chotara: Ni zao la (au) mchanganyiko wa wazazi wawili wenye vinasaba tofauti wanaotoka katika jamii na tamaduni tofauti. Chotara wanaweza kupatikana au kuzalishwa kutoka kwa Binadam, wanyama au mimea.
Je mnyemwezi na mngoni wakizaa mtoto wao atakua chotara????