unapoandika kitu,elezea hyo abbreviation ina stand for what? inakuwa vizur zaid watu watafahamu unamaanisha nini.
hapana mkuu,sifahamu mi nilitaka kujua tu kirefu chake na maana yake.thanks mefahamunadhani atakuwa alimaanisha Gis ( geographical information system)....
kama una ifahamu ebu tudokezee apo mkuu
Kweli ww ni blank page. Jina lako linasanifu yaliyomo kichwanihapana mkuu,sifahamu mi nilitaka kujua tu kirefu chake na maana yake.thanks mefahamu
Wewe umesomea GIS?? Zipo kampuni nyingi tu. Tena kubwa. Kwa sasa makampuni mengi makubwa lazima yawe na GIS department. Kwa mfano TANESCO wana idara mpya kabisa ya GIS, mimi nimefanya kazi huko.wadau naombeni mwenye kujua mahali zilipo kampuni zinazojihusisha na G.I.S kwa hapa dar zilipo? nnazozijua hata 5 hazifiki hivyo naomba mwenye kuzijua mahali zilipo anitajie.
Wewe umesomea GIS?? Zipo kampuni nyingi tu. Tena kubwa. Kwa sasa makampuni mengi makubwa lazima yawe na GIS department. Kwa mfano TANESCO wana idara mpya kabisa ya GIS, mimi nimefanya kazi huko.
Wewe tu mzee. Umesomea chuo gani kwanza? Na je umesoma GIS kama degree program au umesoma kama kozi tu ya semister moja??mkuu mimi nimesoma hiyo GIS kama kozi kipindi nipo chuoni na kubahatika kufanya nayo kazi field na kuitumia ktk project yangu..
vipi nataka nijarbu kuomba nafasi ya internship au volunteer apo TANESCO vipi ukicheki upepo naweza fanikiwa...
shukrani
sawa mkuu,nashkuru tuendlee kudharauliana ivo2 siku moja tutaheshimiana ...kija kujua mtu unaemdhani blank kumbe kakuzidi.thanks......gtKweli ww ni blank page. Jina lako linasanifu yaliyomo kichwani
si umsaidie hapo juu mkuu aleleta mada kumtajia hizo kampuni mkuu?Wewe tu mzee. Umesomea chuo gani kwanza? Na je umesoma GIS kama degree program au umesoma kama kozi tu ya semister moja??
Wewe umesomea GIS?? Zipo kampuni nyingi tu. Tena kubwa. Kwa sasa makampuni mengi makubwa lazima yawe na GIS department. Kwa mfano TANESCO wana idara mpya kabisa ya GIS, mimi nimefanya kazi huko.
Wewe umesomea GIS?? Zipo kampuni nyingi tu. Tena kubwa. Kwa sasa makampuni mengi makubwa lazima yawe na GIS department. Kwa mfano TANESCO wana idara mpya kabisa ya GIS, mimi nimefanya kazi huko.
nnazo zijua nyingine umezi-mention hapo juu, kuna Geomatics pia. Nlisema nizijuazo hazizidi tano. Natumai umenielewakuna Geomaps, inforbridge, TMAA , ESRI, ramani huria pia nao nadhan
weka na hizo zako tano mtoa mada..