NADHANI ukiwasiliana na mamlaka husika zilizotoa vyeti hivyo mkienda mahakamani kuapa mtapewa waraka utakaothibitisha kuwa bwana SAID na SAIDI ni mtu mmoja,hivyo kuondoa uvulivuli katika jambo lako
SWALI LA KIZUSHI: Hivi mkuu living certificate na cheti cha darasa la saba vinatumika kuombea kazi eeee?#justCurious