Msaada juu ya ununuzi wa bati..!

Msaada juu ya ununuzi wa bati..!

iconman

Member
Joined
Mar 4, 2014
Posts
28
Reaction score
13
Wana Jamii forum nimefanikiwa kujenga nyumba yangu sasa niko ktk hatua ya kuezeka nilikuwa nataka nitumie bati zile za rangi alimaarufu kama bati za msouth nilikuwa naomba ushauri wenu je kampun/kiwanda gani hapa bongo kinatoa bati nzuri za aina hiyo na kwa bei nzuri na je ntagunduaje bati feki na original na mwisho rangi gani huwa inavutia sana ukitumia kuezeka.
 
Rangi nzuri ni deep blue,
Tumia bati za Alaf za IT (Msouth) gauge 28,ni imara,ngumu na hazipauki,kama unahitaji ni pm nikupe namba ya agent wa Alaf anayeuza bati hizo kama uko dar.
 
Back
Top Bottom