kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
kiukweli nimempa mtu anisaidie kuiweka ubuntu kwenye pc
yangu akanambia anasikia kuwa ukitaka kuweka
programme kwenye ubuntu zinakataa au nyingine mpama
uwe online ndo ziweze kuwekwa huko,waungwana
naomba mnishauri au kunielewesha njia mbadala ya
kuweka hizo programme kwenye ubuntu.
yangu akanambia anasikia kuwa ukitaka kuweka
programme kwenye ubuntu zinakataa au nyingine mpama
uwe online ndo ziweze kuwekwa huko,waungwana
naomba mnishauri au kunielewesha njia mbadala ya
kuweka hizo programme kwenye ubuntu.