makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,129
- 80,997
Mungu amfanyie wepesi, kuna baadhi ya mambo madaktari wetu wanasababisha. Wengine ni kama waganga wa kienyeji tu, tiba yao haitofautiani na kupiga ramli, wao kidogo wanakimbilia vipimo, mwishowe gharama zinakuwa kunwa mnoo.