anuary salum
Member
- Dec 7, 2012
- 70
- 4
Dada mmoja kaniomba niulize kwamba katumia dawa za misoprostol tatu akameza na moja akaweka uken ili kutoa mimba lakini baadaye akatapika je dawa itafanya kazi? Na kama haitafanya arudie zoezi la kutoa kwa muda gani?
Tafadhali naomba msaada wenu ndugu zangu.
Tafadhali naomba msaada wenu ndugu zangu.