Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,622
Habari wakubwa...
sasa ni hivi, kwa muda nimesoma na kuona watu wakiongelea na kulifanya jambo hili (rooting)..
sasa na mimi nimetamani nataka kuroot ya kwangu ambayo ni HTC incredible s710e..ili niweze ku-enjoy hiyo jailbreacking firmware..
Msaada uwe umejikita humu.........
1 Ipi itakua ni firmware nzuri kwangu ? na kwanini?...(nikipata na download link,itakua mwake)
2 Nini cha kuzingatia kabla ya operation nzima kuanza..? na zipi ni requirements?
3 Madhara gani yanaweza kuitokea device yangu?
4 Na android version nzuri ni ipi? (kwa sasa natumia 4.0.4
NAOMBA KUWASILISHA..
Justine.:A S-confused1:
sasa ni hivi, kwa muda nimesoma na kuona watu wakiongelea na kulifanya jambo hili (rooting)..
sasa na mimi nimetamani nataka kuroot ya kwangu ambayo ni HTC incredible s710e..ili niweze ku-enjoy hiyo jailbreacking firmware..
Msaada uwe umejikita humu.........
1 Ipi itakua ni firmware nzuri kwangu ? na kwanini?...(nikipata na download link,itakua mwake)
2 Nini cha kuzingatia kabla ya operation nzima kuanza..? na zipi ni requirements?
3 Madhara gani yanaweza kuitokea device yangu?
4 Na android version nzuri ni ipi? (kwa sasa natumia 4.0.4
NAOMBA KUWASILISHA..
Justine.:A S-confused1: