Msaada juu ya agizo hili la usafi...

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Apr 1, 2014
748
367
Kwa mjibu wa utaratibu uliopo ni kwamba toka mh.. rais kuamulu kwmba jumamosi ya mwisho.ya mwezi watu.. wafanye usafi... ok mimi naunga mkono hilo .. lakin sasa swala la eti.. biashara zifungwe mpaka saa tano ndipo zifunguliwe..kiukweli hapa mim naona kama.watanifunga tuu.haiwezekani supu ya utumbo niibandike saa tano. Huu utakua uongo ningefurahi wangesema mtu anaweza kuamka hata saa kumina moja akifanya usafi wake anaweza kuendelea na biashara ...au ...NAITAJI MCHango....wenu kabla sijaanzisha mzozo ....
 
Lianzishe mkuu maana hii serikali imejaa watu wamekariri sana mambo. Ni sawa na kusema yeyote anayekutwa anacheza pool saa 5 akamatwe utadhani watu wote kazi wanafanya asubuhi. Kuna walinzi kwa mfano kazi zao ni usiku, sasa utamzuiaje mtu kama huyu kucheza pool saa 5!!!
 
Back
Top Bottom