Huwa kama kuna error eneo hilo kuna maandishi yanajitokeza hayo ndo nataka niyaone, kama hakuna maandishi hebu eleza tatizo lako kwa ufasahaMkuu picha nimetuma, unaweza nisaidia hapo
Vp ushafanikia kurekebisha tatizo la laptop?PC Yangu imeanza kizingua kuwaka tangu jana. Ukiiwasha inawaka Ila inakuwa Ya black na kuna kimstari kinablink nimejaribu option kadhaa Kama esc , Ctrl, alt na delete still imegoma. Nifanyaje ili ianze kufunction kama kawaida
![]()
PC Yangu imeanza kizingua kuwaka tangu jana. Ukiiwasha inawaka Ila inakuwa Ya black na kuna kimstari kinablink nimejaribu option kadhaa Kama esc , Ctrl, alt na delete still imegoma. Nifanyaje ili ianze kufunction kama kawaida
![]()
Nilipokuuliza hilo swali nilikuwa ndio nacheki, ili unijibu nikupe solution lakini nikakuta tayari umeshapost kuwa tayari imesharekebishwa. Nahisi tatizo lake ilikuwa ni windows, ilitakiwa kufanywa installation upya ya window.Yes kilikuwepo