Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Wana MMU
Kiukweli nilizaliwa na kulelewa katika mazingira ya kistaarabu, ya kujali utu , nimekua naishi na watu vizuri kwa wakati huo still nipo na wazazi
But wazazi walipotangulia mbele za haki watu wakaanza kunigeuka hasa ndugu so tangu nipo mdogo nasoma form 1 nkaanza kuishi ghetto hadi nafika university,wakati wote huu nimekua nikikumbana na maumivu mbalimbali ya kimaisha na kimapenzi na wanawake nliowahi kutoka nao
Nimekuja kugundua ukimya wangu na upole wangu watu wananiona bwege hasa hawa wanawake na huyu mwanamke nliemzalisha, ananiletea jeuri na dharau za kijinga kisa tu ana kijikazi chake na salary halafu anataka aje awe mke wangu,kiukweli ananiumiza kwa vingi
Sasa nasema imetosha ,nipeni mbinu za kuwa na roho mbaya ngumu nianze kwenda nae kibabe manake nimembeleza na kumpeti peti naona ameniona boya.Kama hataki mapenzi na Mimi aseme kuliko kuniletea masuala ya kuumiza roho
Sigara kali
Kiukweli nilizaliwa na kulelewa katika mazingira ya kistaarabu, ya kujali utu , nimekua naishi na watu vizuri kwa wakati huo still nipo na wazazi
But wazazi walipotangulia mbele za haki watu wakaanza kunigeuka hasa ndugu so tangu nipo mdogo nasoma form 1 nkaanza kuishi ghetto hadi nafika university,wakati wote huu nimekua nikikumbana na maumivu mbalimbali ya kimaisha na kimapenzi na wanawake nliowahi kutoka nao
Nimekuja kugundua ukimya wangu na upole wangu watu wananiona bwege hasa hawa wanawake na huyu mwanamke nliemzalisha, ananiletea jeuri na dharau za kijinga kisa tu ana kijikazi chake na salary halafu anataka aje awe mke wangu,kiukweli ananiumiza kwa vingi
Sasa nasema imetosha ,nipeni mbinu za kuwa na roho mbaya ngumu nianze kwenda nae kibabe manake nimembeleza na kumpeti peti naona ameniona boya.Kama hataki mapenzi na Mimi aseme kuliko kuniletea masuala ya kuumiza roho
Sigara kali