KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,203
- 1,957
Habari ya kazi ndugu yangu.
Mahali nilipo hapana umeme na nimefunga mfumo wa maji nyumba nzima hivyo naomba msaada wa kujua nini kinachohitajika ku-supply maji toka kisimani kati ya MOTOR au WATER PUMP.
Kama vitahitajika vyote kwa pamoja naomba msaada pia.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Mahali nilipo hapana umeme na nimefunga mfumo wa maji nyumba nzima hivyo naomba msaada wa kujua nini kinachohitajika ku-supply maji toka kisimani kati ya MOTOR au WATER PUMP.
Kama vitahitajika vyote kwa pamoja naomba msaada pia.
Natanguliza shukran zangu za dhati.