habari wakuu,
nipo katika mpango wa kuvuta galaxy s3.s4 au note 3 used.....issue ni kuwa specifications nazifahamu but sijui jinsi ya kuzicheki kwnu simu zaidi ya ile *@0...!!
ntawezaje kujua kama simu hii inatumia prossesor ya snapdragon n not mediatek...amoled..kuhakikisha its ram n so so on???
karibuni kwa michango n thanks in advance
nipo katika mpango wa kuvuta galaxy s3.s4 au note 3 used.....issue ni kuwa specifications nazifahamu but sijui jinsi ya kuzicheki kwnu simu zaidi ya ile *@0...!!
ntawezaje kujua kama simu hii inatumia prossesor ya snapdragon n not mediatek...amoled..kuhakikisha its ram n so so on???
karibuni kwa michango n thanks in advance