nimefanya hivyo ila haileti menu yoyote inaku msg ya warning tuBonyeza volume up + home butto and power off kwa pamoja then itakupeleka recovery utatuma screenshot ...
Sent using Jamii Forums mobile app
sio yakwangu ndio maana nataka nianze upyaE-mail inayotumika kwenye hiyo simu ni yako.?
Hiyo ukisha i reset hutaweza kuitumia mpaka uweke ile E mail ya mwanzo unless ui flash au u clear FRP
Habari zenu wakuu nahitaji kuirestore Galaxy Grand Prime+ ila sijaona pa kuanzia wala kumalizia msaada wenu tafadhalini.
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana sio ya wizi ila possword zimesahaulikaHiyo ukisha i reset hutaweza kuitumia mpaka uweke ile E mail ya mwanzo unless ui flash au u clear FRP
Kama ni ya uwizi mjomba utakamatwa
notedHiyo kama ilikuwa inatumika Oman maana yake e-mail iliyopo humo siyo yako, cha kufanya ni kutoa file reset protection (FRP) ila hiyo ya kureset utakuwa unajidanganya .
Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk