Msaada: Jinsi ya kurestore Galaxy Prime+

E-mail inayotumika kwenye hiyo simu ni yako.?
 
Hiyo kama ilikuwa inatumika Oman maana yake e-mail iliyopo humo siyo yako, cha kufanya ni kutoa file reset protection (FRP) ila hiyo ya kureset utakuwa unajidanganya .
Habari zenu wakuu nahitaji kuirestore Galaxy Grand Prime+ ila sijaona pa kuanzia wala kumalizia msaada wenu tafadhalini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…