Fata njia zote, lakin ushauri huu wa kumchemsha bila kumkausha achana nao, iyo nyama hautaila. Bata ana shombo flani na kaarufu kabaya sana, kanaishaga mpaka umkaushe kwanza kwa oven au ata mkaa, taratibu moto mdogo at least masaa 3.
Nyama ya mbele ya bata ni kavu halafu ya nyuma ina mafuta! Upishi wake ni kama kuku tu,ila usimchemshe bila kumkausha kidogo..sio kwamba hatalika la hasha! Ila ile taste itakua tofauti kidogo.. BTW mpe hongera dogo kwa ushindi.
Mimi binafsi huwa nampika kama anavyopikwa kuku tofauti ni pale ukimpasua bata ni vizuri kumbanika kukausha mafuta na ile damu kabla ya kumchemsha na ni vzuri awekwe viungo kama tangawizi, limao na kitunguu saum kukata shombo.