Msaada: Jinsi ya kupata Visa - Dubai

Msaada: Jinsi ya kupata Visa - Dubai

Achana na nchi yako. Kajenge uchumi wako binafsi. "nchi" ni mwanamke mgumu sana na wanamtumia vibaya sana. Pambana mkuu, na hivi bado upo single, time ni sasa.
Ahsante Mkuu,kama kuna lolote waweza niongezea nakukaribisha sana,tatizo ni VISA TU mengine karibu yote nimecover!!.
 
Nyuzi za ng'ambo na mwamko wa vijana kuvuka border umekuwa mkubwa sana awamu hii hapa jukwaani..nini chanzo!?
Cc lusungo, blindspot
Umri na hali halisi ya nchi vinawaruhusu kufanya hivo. Na nawaunga mkono. Hamna mazingira ya maisha TZ kwa sasa.
 
Kwl Mkuu,ndiyo maana nimeandika kama kuna mtu aliyeko Dubai angenipa taarifa kamili ingenisaidia sana!!.
Ni kweli. Ila soma hiyo story ya jamaa nayo ina information nyingi sana ya kupanga mkakati. Kwa mimi nilivyoisoma ni kuwa ukienda uwe na visa ya walau miezi mitatu hasa kama kazi unakwenda kuanza kutafuta from point 0.
 
Ni kweli. Ila soma hiyo story ya jamaa nayo ina information nyingi sana ya kupanga mkakati. Kwa mimi nilivyoisoma ni kuwa ukienda uwe na visa ya walau miezi mitatu hasa kama kazi unakwenda kuanza kutafuta from point 0.
Ahsante kwa hilo Mkuu, hilo pia amekuwa akisisitiza Mkuu Daby
 
Ahsante Mkuu,kama kuna lolote waweza niongezea nakukaribisha sana,tatizo ni VISA TU mengine karibu yote nimecover!!.
Binafsi la kukuongezea ni Maombi yangu kwa Mungu juu ya safari yako. Mungu akakutangulie na kukufungulia milango ya baraka. Sawa sawa na haja ya moyo wako na mapenzi yake akakubariki. Kila lakheri mkuu
 
Binafsi la kukuongezea ni Maombi yangu kwa Mungu juu ya safari yako. Mungu akakutangulie na kukufungulia milango ya baraka. Sawa sawa na haja ya moyo wako na mapenzi yake akakubariki. Kila lakheri mkuu
Ahsante sana Mkuu nashukuru kwa hilo,M.Mungu akubariki.
 
ukishapata visa na kukamilisha hatua zote nitafte kuna inshu nimetaftiwa na mwana huko ananisubr tu mimi, nachelewa kdg kutokana na masuala ya kiafya nataka niende nikiwa nimeconfrm kama nipo physical fit mana kaz n kaz kweli kweli, so kama chance bd itakuwepo nitakupa hyo yangu m najua nitapata nyingne anytime nikiwa tayar
 
ukishapata visa na kukamilisha hatua zote nitafte kuna inshu nimetaftiwa na mwana huko ananisubr tu mimi, nachelewa kdg kutokana na masuala ya kiafya nataka niende nikiwa nimeconfrm kama nipo physical fit mana kaz n kaz kweli kweli, so kama chance bd itakuwepo nitakupa hyo yangu m najua nitapata nyingne anytime nikiwa tayar
Ngoja nikutafute Mkuu!!.
 
Kyaibumba yupo UKRAINE sio Dubai
Visa ya Dubai ni simple kupata,

Ila kuna issue ya kudhaminiwa maana vijana wakipata visa wakienda wana overstay

Mpaka upate mtu wa kukudhamini kwamba ukienda utarudi,au uweke deposit ya kuku guarantee 2 million

Visa kwa mwezi mmoja ni 150 USD

Miez mitatu ni 200 USD it depend na agent alokutaftia visa,

Ila ukiombea Tz lazima uweke deposit ya milion kama 2 kwa atakayekutaftia visa ili ukioverstay aitumie kulipa faini,

Lakin kama una mtu anayeish dubai unamtumia hela anakutaftia visa bila deposit, ye ndo anakudhamini kwa EMIRATES ID yake,

Nauli inategemea umebook ndege gani na msimu.upi, kama sasa.kuna punguzo la ramadhan kwa EMIRATES ni 380 USD return ticket

Sehem za kuish,

Dubai wanakaa kwenye Bed spaces, yaan mnachangia vitanda na kwa mwezi ni AED 600 sawa na laki 3 na 40 ya Tz,

Nakushauri chukua visa ya miez mitatu iwe rahisi kwako kupata kazi, usichukue ya mwezi mmoja itakusumbua,

Fanya hivi

Nauli 900,000
Visa 300,000
Room 700,000 kwa miez miwili angalau,
Chakula andaa 15000 per day

2,500,000 inakutosha kabisa
 
Ngoja nikutafute Mkuu!!.
Visa ya Dubai ni simple kupata,

Ila kuna issue ya kudhaminiwa maana vijana wakipata visa wakienda wana overstay

Mpaka upate mtu wa kukudhamini kwamba ukienda utarudi,au uweke deposit ya kuku guarantee 2 million

Visa kwa mwezi mmoja ni 150 USD

Miez mitatu ni 200 USD it depend na agent alokutaftia visa,

Ila ukiombea Tz lazima uweke deposit ya milion kama 2 kwa atakayekutaftia visa ili ukioverstay aitumie kulipa faini,

Lakin kama una mtu anayeish dubai unamtumia hela anakutaftia visa bila deposit, ye ndo anakudhamini kwa EMIRATES ID yake,

Nauli inategemea umebook ndege gani na msimu.upi, kama sasa.kuna punguzo la ramadhan kwa EMIRATES ni 380 USD return ticket

Sehem za kuish,

Dubai wanakaa kwenye Bed spaces, yaan mnachangia vitanda na kwa mwezi ni AED 600 sawa na laki 3 na 40 ya Tz,

Nakushauri chukua visa ya miez mitatu iwe rahisi kwako kupata kazi, usichukue ya mwezi mmoja itakusumbua,

Fanya hivi

Nauli 900,000
Visa 300,000
Room 700,000 kwa miez miwili angalau,
Chakula andaa 15000 per day

2,500,000 inakutosha kabisa
 
Ngoja nimsubiri Mkuu,anaweza nipa mambo mawili matatu,si unajua tena penye wengi hapaharibiki jambo!!.


Visa ya Dubai ni simple kupata,

Ila kuna issue ya kudhaminiwa maana vijana wakipata visa wakienda wana overstay

Mpaka upate mtu wa kukudhamini kwamba ukienda utarudi,au uweke deposit ya kuku guarantee 2 million

Visa kwa mwezi mmoja ni 150 USD

Miez mitatu ni 200 USD it depend na agent alokutaftia visa,

Ila ukiombea Tz lazima uweke deposit ya milion kama 2 kwa atakayekutaftia visa ili ukioverstay aitumie kulipa faini,

Lakin kama una mtu anayeish dubai unamtumia hela anakutaftia visa bila deposit, ye ndo anakudhamini kwa EMIRATES ID yake,

Nauli inategemea umebook ndege gani na msimu.upi, kama sasa.kuna punguzo la ramadhan kwa EMIRATES ni 380 USD return ticket

Sehem za kuish,

Dubai wanakaa kwenye Bed spaces, yaan mnachangia vitanda na kwa mwezi ni AED 600 sawa na laki 3 na 40 ya Tz,

Nakushauri chukua visa ya miez mitatu iwe rahisi kwako kupata kazi, usichukue ya mwezi mmoja itakusumbua,

Fanya hivi

Nauli 900,000
Visa 300,000
Room 700,000 kwa miez miwili angalau,
Chakula andaa 15000 per day

2,500,000 inakutosha kabisa
 
Visa ya Dubai ni simple kupata,

Ila kuna issue ya kudhaminiwa maana vijana wakipata visa wakienda wana overstay

Mpaka upate mtu wa kukudhamini kwamba ukienda utarudi,au uweke deposit ya kuku guarantee 2 million

Visa kwa mwezi mmoja ni 150 USD

Miez mitatu ni 200 USD it depend na agent alokutaftia visa,

Ila ukiombea Tz lazima uweke deposit ya milion kama 2 kwa atakayekutaftia visa ili ukioverstay aitumie kulipa faini,

Lakin kama una mtu anayeish dubai unamtumia hela anakutaftia visa bila deposit, ye ndo anakudhamini kwa EMIRATES ID yake,

Nauli inategemea umebook ndege gani na msimu.upi, kama sasa.kuna punguzo la ramadhan kwa EMIRATES ni 380 USD return ticket

Sehem za kuish,

Dubai wanakaa kwenye Bed spaces, yaan mnachangia vitanda na kwa mwezi ni AED 600 sawa na laki 3 na 40 ya Tz,

Nakushauri chukua visa ya miez mitatu iwe rahisi kwako kupata kazi, usichukue ya mwezi mmoja itakusumbua,

Fanya hivi

Nauli 900,000
Visa 300,000
Room 700,000 kwa miez miwili angalau,
Chakula andaa 15000 per day

2,500,000 inakutosha kabisa
Nimekuelewa Mkuu;

Changamoto:

*Sina hiyo 2ml ya kudepost.
*Sina yeyote ndg/rafiki/jamaa aliye huko.

*Kuhusu Gharama ulizoorodhesha ninazo/naweza kupata*

OMBI:
Una mtu yeyote aliyeko huko(Mwaminifu) uniunganishe nae NIMTUMIE HELA ANITAFUTIE VISA?.

SWALI?.

IKITOKEA NIKAPATA KAZI NDANI YA HIYO MIEZI 3.
JE,NARUHUSIWA KUBADILI VISA NA KUPEWA WORK PERMIT(KUANZA KUFANYA KAZI) BILA KUTOKA KWANZA NJE YA DUBAI?.

WITO:
Ndg wana jukwaa mlio Dubai nahitaji msaada wenu katika hili.
 
Back
Top Bottom