Msaada: Jinsi ya kupata Logic Assessment and Psychometric Test kwa gharama nafuu

MBWAGA II

Member
Aug 1, 2015
14
4
Habari za Ijumaa wakuu,

Naomba kufahamishwa namna ya kupata online test inayoitwa "Logic Assessment and Psychometric Test".

Kwa gharama ya chini zaidi au ikiwezekana iwe free,maana nimejaribu kuangalia baadhi ya links gharama zake ni kubwa kwangu kwa sasa ni usd 50-80.Nahitaji kuifanya hiyo test As Soon As Possible wakuu,tatizo ni hizo gharama.

Nafahamu hapa JF kuna wazoefu na wajuzi wa mambo mbalimbali.Tafadhali,mchango wako wa mawazo au kuweka hiyo link ni muhimu sana.Natanguliza shukrani.


Mbwaga II
 
Mkuu achana na hiyo kitu.utapigwa hela bure na kazi hutaweza pata. Najua hiyo kazi utakuwa umeambiwa ufanye huo mtihani na utume hicho cheti. Waongo hao. Wanatumia njia hizo kula hela za watu. Mara nyingi wanakuwa Nairobi, nigeria na ulaya kama UK n.k.

Kaa mbali nao watakula pesa yako bule
 
Asa
Mkuu achana na hiyo kitu.utapigwa hela bure na kazi hutaweza pata. Najua hiyo kazi utakuwa umeambiwa ufanye huo mtihani na utume hicho cheti. Waongo hao. Wanatumia njia hizo kula hela za watu. Mara nyingi wanakuwa Nairobi, nigeria na ulaya kama UK n.k.

Kaa mbali nao watakula pesa yako bule
Asante kwa ushauri mkuu
 
Hapana,labda nyuzi zimefanana tu.Ama mahitaji ya hiyo test yamekuja kwa wakati mmoja.Kama unajua lolote kuhusu hiyo kitu,please share hapa.
Mkuu ngoja nikupe experience kuhusu hizi test
Miaka michache iliyopita niliwahi omba kazi Maersk Group, baada ya week kadhaa HR department ikanitumia email kuwa natakiwa kufanya Assessment test ambayo inaitwa Proffesional Learning Indicator (PLI) nikatumiwa link kwenye email ambayo ukiifungua ndo unayapata maswali mchanganyiko yenye kupima uwezo yalikuwa kama 50 hivi na unapewa minutes za kufanya.

Note: Hizi test mara nyingi hutolewa na makampuni husika ambayo uliapply nafasi ya kazi na huwa hawatozi fedha yoyote, sijawahi kuona kituo au chuo ambacho unafanya hizi assessment kisha unapewa cheti ila labda zipo zaidi ya hapo huwa kunakuwaga na matapeli ambao hutoza hela kwa aajili ya hizi assessment nakuomba uwe makini pindi unapo tafuta
 
Mkuu ngoja nikupe experience kuhusu hizi test
Miaka michache iliyopita niliwahi omba kazi Maersk Group, baada ya week kadhaa HR department ikanitumia email kuwa natakiwa kufanya Assessment test ambayo inaitwa Proffesional Learning Indicator (PLI) nikatumiwa link kwenye email ambayo ukiifungua ndo unayapata maswali mchanganyiko yenye kupima uwezo yalikuwa kama 50 hivi na unapewa minutes za kufanya.

Note: Hizi test mara nyingi hutolewa na makampuni husika ambayo uliapply nafasi ya kazi na huwa hawatozi fedha yoyote, sijawahi kuona kituo au chuo ambacho unafanya hizi assessment kisha unapewa cheti ila labda zipo zaidi ya hapo huwa kunakuwaga na matapeli ambao hutoza hela kwa aajili ya hizi assessment nakuomba uwe makini pindi unapo tafuta
Asante sana mkuu.Well noted.
 
Hii ni coincidence tu.. Huyu ni mwanajamii mwingine sio mimi... But naona some positive responses hapo as we proceed, aksanteni kwa msaada wenu wa ushauri.. Kuhusu utapeli ndio upo, na umakini ni muhimu, ila pia inaonekaka hii service pia inatolewa kwa malipo pia na some international consulting firms. Bado mimi pia naendelea ku search
Sasa naanza kupata mashaka hivi wewe sio Alluu kweli ulieanzisha uzi kama huu jana tu?
i
 
Back
Top Bottom