Ni bure uwe na particulars tu.Ndio gharama jee
Kwenye kutoa ni bure kabisa kwa hiyo huwezi kupata hasara.Ngarama zake, namaanisha makato yake, coz naona mtu atalipa Kwa lipa number then mm ninapozitoa Ili nikafanye manunuzi nakatwa Tena? Sikibiashara napata hasara? Let's say nimeuza Bia 5. Mteja analipa Kwa lipa number, na hizo bia kesho nahitaji kununua Kwa jumla nije niuze Tena, swala la faida hapo vipi?
DarKwenye kutoa ni bure kabisa kwa hiyo huwezi kupata hasara.
Uko wapi?
Sifa nida, tin Kama upo seriously PmWakuu naomba nijuzeni utaratibu wa kupata lipa namba ya biashara
Jee ni ipi nzuri kati ya Lipa namba ya voda, tigo au airtel?Namaanisha ambayo ndo the best.
Jee gharama za lipa ni shilingi ngapi?
Jee inachukua muda gani hadi kuipata?
Nitakupa mrejesho wiki ya kesho mimi mwenyewe naisubiri alinisajilia toka alhamisi akaenda nayo ofisini ili akakamilishe kila kitu na kile kibango chenye jina na namba ya lipa.
Naskia ni nzuri sanaNgarama zake, namaanisha makato yake, coz naona mtu atalipa Kwa lipa number then mm ninapozitoa Ili nikafanye manunuzi nakatwa Tena? Sikibiashara napata hasara? Let's say nimeuza Bia 5. Mteja analipa Kwa lipa number, na hizo bia kesho nahitaji kununua Kwa jumla nije niuze Tena, swala la faida hapo vipi?
Ya voda au tgoNitakupa mrejesho wiki ya kesho mimi mwenyewe naisubiri alinisajilia toka alhamisi akaenda nayo ofisini ili akakamilishe kila kitu na kile kibango chenye jina na namba ya lipa.
Nimejaribu kuitumia pesa hiyo namba kwa kawaida nimeona imegoma kwamba hiyo namba haipokei pesa, so inawezekana usajili umekamilika.
Ya voda mkuu. Nimeambiwa ipo tayari ila mimi nimesafiri kidogo.Ya voda au tgo
Unaenda kwa wakala unaitoa pesa yote bila makato ila sharti lake ni kuwa unatoa mara moja tu kwa sikuNgarama zake, namaanisha makato yake, coz naona mtu atalipa Kwa lipa number then mm ninapozitoa Ili nikafanye manunuzi nakatwa Tena? Sikibiashara napata hasara? Let's say nimeuza Bia 5. Mteja analipa Kwa lipa number, na hizo bia kesho nahitaji kununua Kwa jumla nije niuze Tena, swala la faida hapo vipi?
Na namba unayotaka kuiunga na lipa usiiunganishe na m pesaSifa nida, tin Kama upo seriously Pm
Kama una Nida unapata. Nicheck 0758381938 popote ulipo na ni bureKama sina T.I.N nina NIDA tu hapo vp
Ni bure kabisa,popote ulipo unatengenezewa. Check meWakuu naomba nijuzeni utaratibu wa kupata lipa namba ya biashara
Jee ni ipi nzuri kati ya Lipa namba ya voda, tigo au airtel?Namaanisha ambayo ndo the best.
Jee gharama za lipa ni shilingi ngapi?
Jee inachukua muda gani hadi kuipata?
Ndani ya masaa 24Voda nasikia ndani ya wiki tu.