Well said, kama wewe ni KE unafaa sana sababu una ushauri mzuri sana!1. Usiwe na mawazo hasi (negative thoughts)
2. Usijilinganishe na mtu yoyote. Jua kua umeumbwa tofauti na mtu yotote hapa duniani
3. Jitambue. Tafuta mambo unayoweza na unayopenda kufanya kisha yafanye. Utajiona mshindi
4. Saidia wengine. Jinsi wanavyokushkuru itakufanya uongeze confidence kua unafanya jambo la maana kwenye jamii inayokuzunguka
5. Vaa vizuri (modesty). Ni chaguo lako, lakini vaa nguo utakayojiskia huru. Obviously hapo ni nguo zisizoleta maswali kwa jamii mf. Fupi, tight, inayoonyesha, mlegezo nk. Utajiona huru kwakua hautavutia macho ya watu (negatively)
6. Soma kwa bidii (kama bado) au kazana ktk kazi ili ufanikiwe. Hautajiskia kudharaulika kama una kazi yako nzuri au biashara.
7. Usiogope kukosolewa. Na kama mtu anakukosoa mambo ya uongo usitilie maanani. Kama ni ya kweli jirekebishe.
8. Usiwe mlalamishi. Watu wakisoma una hiyo tabia watakuonea na utaendelea kukosa confidence
9. Soma vitabu vya Mungu. Kama ni mkristo, biblia ina maneno mengi ya kukufariji.
10. Google, soma vitabu utapata zaidi
Habari zenu wanajamvi,
Leo ningependa kufundishwa njia zitakazo niwezesha kuwa mtu wa kujiamini niwapo mbele ya watu. Nasikitika sana juu ya tatizo hili ambalo toka utotoni mwangu hii nimegundua jinsi malezi yangu yalikuwa ndiyo chanzo cha kupungua kujiamini kwani nilikuwa napigwa sana hivo kuuliza kitu ama kuongea ilikuwa ngumu kwangu hivo mpaka sasa nimekuwa muhanga mkubwa.
Naomba kujuzwa mbinu zitakazonifanya niwe bora zaidi katika kujiamini,
Kwani now najiandaa kwenda chuo nikiwa na tatizo hili ndani ya kichwa changu.
yaaah inawezekana sanaNa mimi naweza kupata soft copy yake kaka?
Nifanyie msaada kaka kwa email adress yangu.yaaah inawezekana sana
Kwy 5! Unaweza kufuatilia vizuri mfn timu unayoipenda labda simba,yanga,kauzu,au manu au juve,chelsea alafu ijua vizuri iyo team,list y wachezaji etc alafu nenda kwy kibanda umiza au bar siku wakiwa na mechi kaa mbele au katikati anza kubishana na watu kwa fact then ukitoka hapo utaona levele yako ya confidence imepanda!fanya mara kwa mara utajikuta inakupa kujiamini,unaweza kuongelea hata siasa na kwy kundi kubwa la watu itakusaidia! Ukifika chuo gombea uongozi wowote pia etc itakusaidia!CONFIDENCE:
a state of being aware.
CONFIDENCE APPROACH
Ⅰ.Recognise your insecurities.
Ⅱ.Always remember no one is perfect.
Ⅲ.Identify your success
Ⅳ.Discover things at which you excell and focus on your talents
Ⅴ.Take pride in your talents…