Msaada jinsi ya kununua vitu online

utemi

Senior Member
Mar 27, 2011
167
23
Wandugu,

Tafadhali kama kuna mwanajamvi yoyote ambaye anafahamu jinsi ya kununua vitu online naomba maelekezo. Asante!

Mambo niaje wakuu, Natumaini wote mko pouwa kabisa, mi naomba msaada wenu wadau kwa wale wanaojua jinsi ya kununua vitu online either iwe simu, gari, nguo au chochote kile ilimradi tu iwe online
1. kuna faida gani unayopata kwa kununua kitu online?
2. je unaweza ukanunua kwa hela yetu ya madafu? au ni ma dollar tu?
3. unajihakikishiaje usalama wa fedha yako ? tena kwa mtu/kampuni usioiona kwa macho yako na ipo mbali

Naombeni mnisaidie kwa hayo, nisiporidhika na maelezo bhasi ntaomba mdau mzoefu aliekwishawahi kununua kitu kwa njia hii ( online) anisaidie kwa niaba yangu ,then tutaelewana tu... natanguliza shukrani

Ndgu zangu wazoefu wa biashara hii ambao mnaijua kiundani naomba mnisaidie njia au hatua za kufuata ili kununua bidhaa online.Naipenda sana biashara hii ila sijui nianzie wapi,naomba wazoefu tupeane utaratibu pia njia nzuri za kufuata ili mzigo usishindwe kufika au kupotelea hewani
 
Last edited by a moderator:
Hellow there,
Ok ndugu, kwanza hujaspecify ninini unachotaka kununua online but sio issue, nitavigroup kwenye makundimatatu.
· Download links.
Zinaweza kuwa links to download music, movies, books,programs or other stuffs which fall into that category.
· Services
Inaweza kuwa membership in websites, hosting plans, domainnames, email address and others.
· Physical objects.
These can be either clothes, books, movies, electronic devices,house equipments, machines and others which require shipping.

Ok now lets check how you can buy each of those.
Kwa downloadable links and service, mara nyingi njiazinazotumika ni instant payments kama vileCredit or Debit Cards kam vile Visa, Mastercard, Delta and MAestro. Bank za Tanzaniazinazotoa card hizo ni CRDB with their Tembocard Mastercard pia Barclays withtheir Visa. Also unaweza kutumia Western Union(don't even think about it, it SUCKS)

So utahitajika kujaza order form, upon payment verification,you will be redirected to a new page with your download or service link.

Kwa physical objects, kidogo kuko complicated, njia zamalipo ni kama za hapo juu but pia kuna Baruaya benk, (tembelea tawi lako watakusaidia zaidi kwa njia hii)

Hapa pia lazima utazame kama unachotaka kinakubalika kuwashipped kuja Africa, bidhaa nyingi hawakubali.

So in summary.
Tembelea mtandao husika.
Tazama page yaoya FAQ
Tazama kama unakidhi vigezo wanavyotak, kuhusushipping napayment options.
Place your order in order form and you are done.

USHAURI WANGU.
kama ni downloadable linksau service, usinunue bali post hapa unachokitaka tunaweza kukusaidia kukipatafor FREE au alternative yake.
kama ni lazima unune, do not EXPOSE your credit card for yoursafety, ni bora utumie njia kama PAYPAL nirahisi na safe zaidi

Good luck and KAribu wanajamvi wengine
 
ok well kuandika bank card number ni great riisk to hackers kwanza kabisa kwa CRDB card yako haitafanya chochote mpaka ujaze form ya kukubali hiyo shughuli "online purchase"ndipo card yako itakuwa active pili register to paypal or moneybrookers itakusaidia kutunza details za card yako safe,zaidi ya hapo kilio mbele!























torrentz, btjunkie, games
 
Mambo niaje wakuu, Natumaini wote mko pouwa kabisa, mi naomba msaada wenu wadau kwa wale wanaojua jinsi ya kununua vitu online either iwe simu, gari, nguo au chochote kile ilimradi tu iwe online
1. kuna faida gani unayopata kwa kununua kitu online?
2. je unaweza ukanunua kwa hela yetu ya madafu? au ni ma dollar tu?
3. unajihakikishiaje usalama wa fedha yako ? tena kwa mtu/kampuni usioiona kwa macho yako na ipo mbali

Naombeni mnisaidie kwa hayo, nisiporidhika na maelezo bhasi ntaomba mdau mzoefu aliekwishawahi kununua kitu kwa njia hii ( online) anisaidie kwa niaba yangu ,then tutaelewana tu... natanguliza shukrani
 
Mambo niaje wakuu, Natumaini wote mko pouwa kabisa, mi naomba msaada wenu wadau kwa wale wanaojua jinsi ya kununua vitu online either iwe simu, gari, nguo au chochote kile ilimradi tu iwe online
1. kuna faida gani unayopata kwa kununua kitu online?
2. je unaweza ukanunua kwa hela yetu ya madafu? au ni ma dollar tu?
3. unajihakikishiaje usalama wa fedha yako ? tena kwa mtu/kampuni usioiona kwa macho yako na ipo mbali

Naombeni mnisaidie kwa hayo, nisiporidhika na maelezo bhasi ntaomba mdau mzoefu aliekwishawahi kununua kitu kwa njia hii ( online) anisaidie kwa niaba yangu ,then tutaelewana tu... natanguliza shukrani

Ukishasema online tegemea currency iwe in terms of $ or £...kumbe hela ya madafu itabadirishwa pindi unalipa kwenda in terms of hiyo currency mostly $
Sight nyingi online zina MONEY PROTECTION e.g eBay au DHgate.com ya kichina inayo Escrow kiasi kwamba unalipa hela wanamtunzia muuzaji uki-confirm mzigo umeupokea ktk hali nzuri ndo wanampa hela...hii iko common kwa manunuzi ya vifaa vya kawaida kama vya electronics,nguo n.k

Kuhusu magari kuna tradecarview.com hawa wanayo payment protection PAY TRADE lkn kampuni kama BE FORWARD hawa hawana payment protection lkn ni wa kuaminika hamna kuibiwa hela
 
Mambo niaje wakuu, Natumaini wote mko pouwa kabisa, mi naomba msaada wenu wadau kwa wale wanaojua jinsi ya kununua vitu online either iwe simu, gari, nguo au chochote kile ilimradi tu iwe online
1. kuna faida gani unayopata kwa kununua kitu online?
2. je unaweza ukanunua kwa hela yetu ya madafu? au ni ma dollar tu?
3. unajihakikishiaje usalama wa fedha yako ? tena kwa mtu/kampuni usioiona kwa macho yako na ipo mbali

Naombeni mnisaidie kwa hayo, nisiporidhika na maelezo bhasi ntaomba mdau mzoefu aliekwishawahi kununua kitu kwa njia hii ( online) anisaidie kwa niaba yangu ,then tutaelewana tu... natanguliza shukrani
Pitia hizi thread mkuu
Re: Manunuzi kwa Ebay
Re: My first ebay Shipment....!!!
 
Ndgu zangu wazoefu wa biashara hii ambao mnaijua kiundani naomba mnisaidie njia au hatua za kufuata ili kununua bidhaa online.Naipenda sana biashara hii ila sijui nianzie wapi,naomba wazoefu tupeane utaratibu pia njia nzuri za kufuata ili mzigo usishindwe kufika au kupotelea hewani
 
Kununua Online sio tatizo, ila tatizo litakuja kwenye mzigo/bidhaa uliyonunua itakufikia vipi.
 
Mambo niaje wakuu, Natumaini wote mko pouwa kabisa, mi naomba msaada wenu wadau kwa wale wanaojua jinsi ya kununua vitu online either iwe simu, gari, nguo au chochote kile ilimradi tu iwe online
1. kuna faida gani unayopata kwa kununua kitu online?
2. je unaweza ukanunua kwa hela yetu ya madafu? au ni ma dollar tu?
3. unajihakikishiaje usalama wa fedha yako ? tena kwa mtu/kampuni usioiona kwa macho yako na ipo mbali

Naombeni mnisaidie kwa hayo, nisiporidhika na maelezo bhasi ntaomba mdau mzoefu aliekwishawahi kununua kitu kwa njia hii ( online) anisaidie kwa niaba yangu ,then tutaelewana tu... natanguliza shukrani
Ni rahisi, Kwanza uwe na Credit Card(Visa/Maestro/ MasterCard) kisha Isajili Internet banking na jaza Form ya PPurchaseOnline. Fungua akaunti ya PayPal kisha link Card yako...
Tembelea Site ka Amazon, Ebay, AliExpress na ununue kwa kutumis Paypal. Weka Address yako(EMS) na usubi shipping. (_Ni bure na website hizo)
 
Je hakuna utapel mkuu?
Unapaswa kununua kwenye kampuni zinazoaminika kama, Ebay.com, Alibaba.com, AliExpress.com na Amazon.com
Ukinunua kwenye Remote Sites Unaweza kutapeliwa.Pia wana Option ya Kutrack Order, kuangalia imefika wapi nakadhalika...Kama inaelekea sehemu isiyo sahihi unaweza kuwataarifu kisha kubadili Address
 
Je kama unanunua mf simu kuna ushuru unatakiwa kulipia TRA pindi ifkapo Tz? Pia huwez kununua bidhaa afu ukakuta haiko vile ulvooneshwa na muuzaji
 
Vp hakuna risk ya Pesa inayoweza kujitokeza licha ya kununua mwenye masoko ya kuaminika kama EBay, Amazon au Alibaba?
 
Je bidhaa za vifurush mf simu gharama za usafirshaj (shipping) haziwez kuwa juu zaid kulko Pesa ulonunulia kitu?
 
Back
Top Bottom