Msaada jinsi ya kununua vitu online

Msaada jinsi ya kununua vitu online

Je kama unanunua mf simu kuna ushuru unatakiwa kulipia TRA pindi ifkapo Tz? Pia huwez kununua bidhaa afu ukakuta haiko vile ulvooneshwa na muuzaji
Kuhusu Ushuru, Kampuni ndo iko responsible. Baada ya kufanya manunuzi Hakuna miamala ya Ziada/Kwenda TRA. Na hiyo ya kukuta Bidhaa haiko kama ilivyooneshwa..Hiyo inaweza tokea...Labda rangi kuwa tofauti.Ilinitokea mara moja tu...
 
Je bidhaa za vifurush mf simu gharama za usafirshaj (shipping) haziwez kuwa juu zaid kulko Pesa ulonunulia kitu?
Hapana, Labda ukinunua Bidhaa kwenye Nchi za mbali Mno kama USA( Amazon.com, Ebay.com) Ila ukinunua AliExpress au Alibaba au Amazon.co.uk, hakuna Shipping fee, ni bure hata kama Bidhaa ulonunua ni ya $2
 
Vp hakuna risk ya Pesa inayoweza kujitokeza licha ya kununua mwenye masoko ya kuaminika kama EBay, Amazon au Alibaba?
Hakuna risk bro, Ila unaweza kuomba refund kama ikitokea.....Shida ni benki Zetu huku, wana bania pesa mda mwingine,
Nadhani; Nimeelezea jinsi ya kununua bidhaa mtandaoni kwenye Blog yangu, Icheck hapa Blog | TechTania
 
Hakuna risk bro, Ila unaweza kuomba refund kama ikitokea.....Shida ni benki Zetu huku, wana bania pesa mda mwingine,
Nadhani; Nimeelezea jinsi ya kununua bidhaa mtandaoni kwenye Blog yangu, Icheck hapa Blog | TechTania
Upo Sahihi Kuhusu Refund Maana Bank nyingi zinasumbua sana kwenye hilo.
Nilihama BancABC kukimbia makato ya kiboya nikawa natumia Equity ila nao wanashida zao!!
Refund zangu 3 hazionekani Equity kwa maana hadi nikasumbuane nao kwa kuwafuata ofisini wakati BancABc wanaku alert kwa sms Pindi pesa zikirudi.
Bora nirudi tu BancABC kuliko Equity.
 
Upo Sahihi Kuhusu Refund Maana Bank nyingi zinasumbua sana kwenye hilo.
Nilihama BancABC kukimbia makato ya kiboya nikawa natumia Equity ila nao wanashida zao!!
Refund zangu 3 hazionekani Equity kwa maana hadi nikasumbuane nao kwa kuwafuata ofisini wakati BancABc wanaku alert kwa sms Pindi pesa zikirudi.
Bora nirudi tu BancABC kuliko Equity.
Yep. Ila kama uli Add credit card yako PayPal, refund inakuwa rahisi zaidi...Haichukui mda na pesa yako haikatwi
 
Yep. Ila kama uli Add credit card yako PayPal, refund inakuwa rahisi zaidi...Haichukui mda na pesa yako haikatwi
Ilo najua pesa ikirudi paypal hata isipoingia Bank bado utaweza kuitumia kufanya manunuzi mengine, shida ni kwamba Ebay,Amazon na mingineyo ndiyo inasupport payza.
Aliexpress wao wanatumia alipay na vitu vingi vinapatikana kwa urahisi aliexpress kuliko huko kwingine kwenye udhibiti wa bidhaa za kutuma huku kwetu
 
Last edited:
Ilo najua pesa ikirudi paypal hata isipoingia Bank bado utaweza kuitumia kufanya manunuzi mengine, shida ni kwamba Ebay,Amazon na mingineyo ndiyo inasupport payza.
Aliexpress wao wanatumia alipay na vitu vingi vinapatikana kwa urahisi aliexpress kuliko huko kwingine kwenye udhibiti wa bidhaa za kutuma huku kwetu
Access Site yao kutumia PC na sio App yao, Kila Vendor anakaribia Njia 15 za kupokea malipo(Kama ni Supplier)
 
Kwahyo Mkuu apps gan ambazo ni the best Ku install kweny simu kama soko zuri la bidhaa
 
Je kat ya posta, DHL au nyanja zingne za usafirshaji ipi ni nzur? Je napoenda posta au DHL hakuna makato au Pesa nayotakiwa nilpe kama?
 
Ila mbna kama vile bidhaa mostly znakuwa na bei kubwa kulko ata Tz? Mbnu gan nawezafanya kupata cheap kdogo ili nami npate japo faida?
 
Mm nna mtaj kama laki tatu naitaj niwe na nunua electronics kama simu na gargerts zingne kama PC, IPads, tablets nk
 
Mm sna PC natumia smartphone, je ni sahihi kutumia apps kama vile EBay, Alibaba nk?
 
Access Site yao kutumia PC na sio App yao, Kila Vendor anakaribia Njia 15 za kupokea malipo(Kama ni Supplier)
Aliexpress zaidi ya kukata moja kwa moja kwenye card na alipay hawana option ya malipo via paypal.
kama vipi tuwekee screenshot hapa tuone sehemu wanayoruhusu.
 
Na mimi nilitaka kuuliza hili
Hiyo hapo
aliexpress-payment-gateaway.jpg
 
Aliexpress zaidi ya kukata moja kwa moja kwenye card na alipay hawana option ya malipo via paypal.
kama vipi tuwekee screenshot hapa tuone sehemu wanayoruhusu.
Na mimi nilitaka kuuliza hili
Kwa nini mnaulizia paypal kwa aliexpress wakati wao wana paypal yao inayoitwa alipay ambayo ni nzuri,trusted na inayojitosheleza kuliko hata paypal??
 
Afu mbna eBay bidhaa nying hawakubal kuzileta Africa? Au kuna njia gan ya kufanya maana nying wanauza UK na nchi zilzoendelea
 
Back
Top Bottom