TechTania
Member
- Jul 31, 2018
- 28
- 98
Kuhusu Ushuru, Kampuni ndo iko responsible. Baada ya kufanya manunuzi Hakuna miamala ya Ziada/Kwenda TRA. Na hiyo ya kukuta Bidhaa haiko kama ilivyooneshwa..Hiyo inaweza tokea...Labda rangi kuwa tofauti.Ilinitokea mara moja tu...Je kama unanunua mf simu kuna ushuru unatakiwa kulipia TRA pindi ifkapo Tz? Pia huwez kununua bidhaa afu ukakuta haiko vile ulvooneshwa na muuzaji