Msaada: Jinsi ya kumsaidia mtu mwenye lesbian

Msaada: Jinsi ya kumsaidia mtu mwenye lesbian

Nyrum

Senior Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
124
Reaction score
41
Habari ya usiku wandugu,

Jamani mimi nimepatwa tatizo leo, kuna binti anafanya kazi na mdogo wangu leo nilienda kumsalimia dogo nikamkuta yupo na huyo mwenzie nae ni muajiriwa wa hapo. Huyo binti sasa ndio tatizo kumbe ni lesbian, yani kanizoea gafla mara dada nakupenda una rangi nzuri mara mrembo yan sifa kibao.

Mara akaomba namba nikampa kama mdogo wangu, ile natoka tu pale zikaanza msg mara nakupenda sana naomba uwe mke wangu! khaa sasa me nikamuulza wewe mwanamke kma mimi utakuaje mume wangu?, akajbu et yeyi tangu azaliwe hajawahi kusex na mwanaume na hajawaih kupata hamu ya kuwa na mwanaume, so akawa kama ananiomba msaada nimsaidie atoke kwenye hali hiyo.

Mimi nimemuitikia tu kwamba nitamsaidia lakini hata sijui nitaanzia wapi. Naomba msaada jamani kwa yeyote anaeweza kunipa mwanga au hata kma anaweza kumsaidia binti huyu atoke huko aliko kimahusiano please ani pm. Binti yupo huku mkoani Mbeya.

Asante na poleni kwa kusoma maelezo marefu
 
ila hayo mazoea hayo! Mtu hujawahi hapo kabla ndio akuambie hivyo? Haya bwana, lakini nibora tu umshauri abakie hivyo hivyo kuliko hicho anachokitafuta dunia nzima inalia baada ya kumizwa na mapenzi so asije akawa miongoni mwa waliao kwa utamu wa muda mfupi,labda msaada zaidi ataupata pale anapo amini kama mkristo aende kanisani viongozi watamsaidia na kama muislam kadhalika,vinginevyo ni kilio tu nadhani na wewe mkubwa unajua.
 
Kuna vitu viwili tu unavyoweza kufanya. Kumkubalia au kumpotezea. Amezaliwa na hali hiyo so ndivyo alivyo. Akiacha atafanya nini sasa. Aendelee tu.
 
Kuna vitu viwili tu unavyoweza kufanya. Kumkubalia au kumpotezea. Amezaliwa na hali hiyo so ndivyo alivyo. Akiacha atafanya nini sasa. Aendelee tu.
Mtu hazaliwi akiwa lesbian au gay, hufanywa ama hujifanya hivyo mwenyewe.
 
watafute salama mikasi na regina mipua mengi watakusaidia.
 
msaidie kupata boy friend aanze kumpoteza mawazo wa ulesbian.
hata kama havutiwi na men mwambie ajaribu tu kwa lengo la kumsaidia.
mwisho wa siku mbona ataolewa kabisa.
 
Naomba msaada jaman kwa yeyote anaeweza kunpa mwanga au hata kma anaweza kumsaidia binti huyu atoke huko aliko kimahusiano plz ani pm..

Ushauri mzuri naona utaupata toka kwa mdogo wako...
 
Kujiendekeza 100% wala asikudanganye. Huyo wa mbeya anajulikana kwa kujizoelesha kwa wadada wengi tu, na wadada ambao walishacome across nae ni wahanga wa huyu dada hasa wake za watu.

Kwanza unachotakiwa kujua hiyo ni roho kamili ya Ibilisi inayomwendesha, u can do nothing kumsaidia.

Stay away from her, till th day atajapopata msaada wa kiroho na aamue yeye mwenyewe kuacha, otherwise ua in few days to come.
 
niwape hongera dada zetu wa kibongo,uskute mshasex tayari ,hapa unatuzuga tu
 
ila wapo lesbian wa kuzaliwa kwa sababu ya hormone za kiume kuzidi za kike ,vile vile magay wa kuzaliwa. Wa namna iyo ujikuta wanavutiwa na jinsia zao
 
Nipe namba yake........."one night stand" moja tu na mimi kesho anaomba one more night plus kusahau hivyo vimbwanga vya kutamani wanawake wenzake........! Kama anataka kupata muhtasari amtafute Faiza Foxy na miss chagga.
 
.....out of topic kumbe mkuu Nyrum mkaree.....ntakutafuta...🙄
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom