Kama kichwa kinavyojieleza hapo.
Kuna Namba Nahitaji kujua ipo mko gani au wapi, mana napiga haipokelewi toka juzi.
Note:
sio mke wala mpenzi
Natanguliza Shkrani
kuna kitu wanaita Social Engineering Attacks hii unaweza kumfanyia yeyote hata obama ilimradi tu upate information zake.
utafanyaje basi-?
nenda kituo cha polisi karipoti umeibiwa pikipiki au chochote utapewa r.b ambayo utaembea nayo na utaenda kwenye mtandao husika anaotumia huyo unaye mpigia ili wakupe location yake n.k
WARNING: kumbuka ukigundulika unafanya udanganyifu kwa maslah binafsi unaweza kuingia matatani ila kwakua umedhamiria kila lakheri
Kwani unamtaka wa nini kama yeye hataki hata kupokea simu yako? Unamdai?
Kama vipi wakati mwingine uwe unamwekea kile kifaa wanachowekewa wanyama pori ili kuweza kum trace popote anapokuwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.