Changed ID
Member
- Aug 5, 2018
- 74
- 60
Wakuu habari za wakati huu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenye kufahamu jinsi ya kuunlock hizi modem anipe msaada ili niweze kutumia hata katika line mbalimbali. Sasa hivi inatumia Vodacom tu.
Ahsanteni.
View attachment 1264252
Ahsanteni.
View attachment 1264252