Msaada : Jinsi ya kufuta windows os kwenye pc

Msaada : Jinsi ya kufuta windows os kwenye pc

baina

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
219
Reaction score
60
Kama jamvini humu kuna anayefahamu hili anisaidie, kuna pc ilikuwa na WINDOW ya xp sp2 na ilipopata shida akaamua kuformat. Badala ya kufuta WINDOW na kuinstall nyingine aliingiza windows nyingine maana yake zikawa mbili kiasi kwamba hata pc ikiwashwa inakutaka uchague window unayotaka ku-run. Sasa nataka kufuta window nisiyotaka ili ibaki moja, je nifanyeje? Naomba procedure wanajamvi.
 
hapo inatakiwa atumie bootable cd. Then airestaat computer inapoanza 2 kuboot bios ataambiwa apress any key 2 boot from cd. So apress itafika mahal ataambiwa achague kurepair au kuendelea na new instalation. Achague new instalation. Then aendelee n prblm come back.
 
Mr. Baina

kutatua tatizo lako Click Start > Run then kwenye box itakayojitokeza andika msconfig .Kwenye menu iliyoko top click Boot button hapo utaona menu yako ikiwa na list yenye idadi ya lines za windows Xp kama zinavyojitokeza kule kwenye menu ya mwanzo unapowasha computer yako.hapo inabidi uwe makini kwani utakayoondoa ni ile ambayo haitumiki.Tafadhali kuwa makini

siku njema.
 
Kama jamvini humu kuna anayefahamu hili anisaidie, kuna pc ilikuwa na WINDOW ya xp sp2 na ilipopata shida akaamua kuformat. Badala ya kufuta WINDOW na kuinstall nyingine aliingiza windows nyingine maana yake zikawa mbili kiasi kwamba hata pc ikiwashwa inakutaka uchague window unayotaka ku-run. Sasa nataka kufuta window nisiyotaka ili ibaki moja, je nifanyeje? Naomba procedure wanajamvi.

Kuna line kwenye boot .ini unatakiwa kuzifuta. But ukikosea kufuta line sahihi basi winodows yako inakuwa unbootable.

Kwanza tambua katika hizo windows mbili ni ipi ambayo ukichagua inaboot .option ya kwanza au ya pili.?
I
Ukisahajua temblea hapa The purpose of the Boot.ini file in Windows XP uelewe maelzo ya mambo yaliyomo na nini unaweza kubadilisha
Tembelea hapa pia ujue unaweza ku edit vipi
How to edit the Boot.ini file in Windows XP

II
altenatively unaweza kucopy na kupaste hapa maelezo ya boot.ini ya kwenye komyuta yako then utaambiwa nini cha kuondoa au ku edit
 
Badilisha hiyo boot.ini kama ulivyoelezwa kisha delete mafolder ya windows ya zamani.
 
Au install program hii kuedit boot menu kirahisi.
Download EasyBCD 2.0.2 - NeoSmart Technologies
XklBb.jpg

Kisha delete folders.
 
Mr. Baina

kutatua tatizo lako Click Start > Run then kwenye box itakayojitokeza andika msconfig .Kwenye menu iliyoko top click Boot button hapo utaona menu yako ikiwa na list yenye idadi ya lines za windows Xp kama zinavyojitokeza kule kwenye menu ya mwanzo unapowasha computer yako.hapo inabidi uwe makini kwani utakayoondoa ni ile ambayo haitumiki.Tafadhali kuwa makini

siku njema.

Mie nina Computer (Laptop) aina ya HP ProBook 4540s ina Window 8. Tangia ni inunue imekuwa na tabia ya kufuta maifili yote ya desktop na my documents automatically kwa interval ya mwezi mmoja hivi. Hili tatizo hujirudia tena baada ya muda huo. Nilijaribu kuirudisha dukani, kwani nilikuwa na warranty ya mwaka mmoja, ila kama kawaida tabia za wabongo (ujanja ujanja na shortcut nyingi ktk biashara) wakagoma hata kunibadilishia PC.

Naomba msaada wako mkuu , hata kama ni settings ili niweze kuondokana na tatizo hili.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwako.
 
Badilisha hiyo boot.ini kama ulivyoelezwa kisha delete mafolder ya windows ya zamani.

Mie nina Computer (Laptop) aina ya HP ProBook 4540s ina Window 8. Tangia ni inunue imekuwa na tabia ya kufuta maifili yote ya desktop na my documents automatically kwa interval ya mwezi mmoja hivi. Hili tatizo hujirudia tena baada ya muda huo. Nilijaribu kuirudisha dukani, kwani nilikuwa na warranty ya mwaka mmoja, ila kama kawaida tabia za wabongo (ujanja ujanja na shortcut nyingi ktk biashara) wakagoma hata kunibadilishia PC.

Naomba msaada wako mkuu , hata kama ni settings ili niweze kuondokana na tatizo hili.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwako.
 
Kuna line kwenye boot .ini unatakiwa kuzifuta. But ukikosea kufuta line sahihi basi winodows yako inakuwa unbootable.

Kwanza tambua katika hizo windows mbili ni ipi ambayo ukichagua inaboot .option ya kwanza au ya pili.?
I
Ukisahajua temblea hapa The purpose of the Boot.ini file in Windows XP uelewe maelzo ya mambo yaliyomo na nini unaweza kubadilisha
Tembelea hapa pia ujue unaweza ku edit vipi
How to edit the Boot.ini file in Windows XP

II
altenatively unaweza kucopy na kupaste hapa maelezo ya boot.ini ya kwenye komyuta yako then utaambiwa nini cha kuondoa au ku edit

Mie nina Computer (Laptop) aina ya HP ProBook 4540s ina Window 8. Tangia ni inunue imekuwa na tabia ya kufuta maifili yote ya desktop na my documents automatically kwa interval ya mwezi mmoja hivi. Hili tatizo hujirudia tena baada ya muda huo. Nilijaribu kuirudisha dukani, kwani nilikuwa na warranty ya mwaka mmoja, ila kama kawaida tabia za wabongo (ujanja ujanja na shortcut nyingi ktk biashara) wakagoma hata kunibadilishia PC.

Naomba msaada wako mkuu , hata kama ni settings ili niweze kuondokana na tatizo hili.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwako.
 
Back
Top Bottom