NutrientAgar
Member
- Jun 24, 2017
- 31
- 22
Natumaini mko poa wakuu,
Naombeni msaada kwa anaefahamu namna ya kuifuta account ya facebook ya zamani ambayo nilishapoteza password yake na siitumii tena kwa zaidi ya miaka 4 sasa.
Tatizo ni kwamba watu wakinisearch wananipata kwenye old na new name nataka niifunge old wanipate kwenye new tu.
Ahsanteni naomba kuwasilisha.
Naombeni msaada kwa anaefahamu namna ya kuifuta account ya facebook ya zamani ambayo nilishapoteza password yake na siitumii tena kwa zaidi ya miaka 4 sasa.
Tatizo ni kwamba watu wakinisearch wananipata kwenye old na new name nataka niifunge old wanipate kwenye new tu.
Ahsanteni naomba kuwasilisha.