Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,536
- 6,561
Wajuzi wa mambo, nimekwama nahitaji kuflash Samsung note 1 na stock rom ila sifahamu ni firmware ya region gani inafaa, simu haiwaki mpaka mwisho kwa hiyo siwezi access hata dialer ili niingize code za ku read info za hii simu.
MODEL GT-N7000
MODEL GT-N7000