Msaada Jinsi ya kuflash Samsung Note 1

Msaada Jinsi ya kuflash Samsung Note 1

Mjomba Fujo

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
2,536
Reaction score
6,561
Wajuzi wa mambo, nimekwama nahitaji kuflash Samsung note 1 na stock rom ila sifahamu ni firmware ya region gani inafaa, simu haiwaki mpaka mwisho kwa hiyo siwezi access hata dialer ili niingize code za ku read info za hii simu.

MODEL GT-N7000
 
Rom tumia yoyote tu. Kama IPO internationa eka hio kama unapata za nchi tofauti download rom ya nchi zinazoongea kingereza.

Note 1 zipo nyingi make sure unadownload rom yake. Kama unavyosema n7000 ndio note 1 yako make sure Rom utakayodownload ni ya n7000
 
Rom tumia yoyote tu. Kama IPO internationa eka hio kama unapata za nchi tofauti download rom ya nchi zinazoongea kingereza.

Note 1 zipo nyingi make sure unadownload rom yake. Kama unavyosema n7000 ndio note 1 yako make sure Rom utakayodownload ni ya n7000

Mwanzo nilichagua ya europe ikamaliza installation ila ikaja stack ile sehemu ya kuchagua language, na default language ilikuwa portuguese, nikasema nijaribu rom ya kenya nayo ikawa ina loop tu kwenye logo ya samsung hapo hapo haiendelei.
 
Mwanzo nilichagua ya europe ikamaliza installation ila ikaja stack ile sehemu ya kuchagua language, na default language ilikuwa portuguese, nikasema nijaribu rom ya kenya nayo ikawa ina loop tu kwenye logo ya samsung hapo hapo haiendelei.

Ikikoma kwenye logo jaribu kutoa battery kama nusu saa rudisha sometime inasaidia.

Pia jaribu kuchunguza na origin ya simu yako.

Pale kwenye lugha unaweza kuchange kuja kingereza just bonyeza lile box la katikati
 
Ikikoma kwenye logo jaribu kutoa battery kama nusu saa rudisha sometime inasaidia.

Pia jaribu kuchunguza na origin ya simu yako.

Pale kwenye lugha unaweza kuchange kuja kingereza just bonyeza lile box la katikati

Nimejaribu vyote hivyo haikubali, hamna software yoyote ya pc inayoweza ku recognize country code ya hizi samsung au custom firmware isiyobagua geographical regions,
 
Mwanzo nilichagua ya europe ikamaliza installation ila ikaja stack ile sehemu ya kuchagua language, na default language ilikuwa portuguese, nikasema nijaribu rom ya kenya nayo ikawa ina loop tu kwenye logo ya samsung hapo hapo haiendelei.

chagua rom za UK au South koz me yang ilikuwa kama ww bt bada kufanya hivo thank Allah kila kit kipo poa s3 +s4
 
Back
Top Bottom