Kitambazi Abdul Member Aug 8, 2017 72 84 Nov 6, 2017 #1 Habari zenu wana JF Jamani mwenzenu Kuna Tusuruali twangu tutatu tweusi tunazidi kupauka... Nataka ziwe nyeusi zing'ae Kama zamani... Nifanyaje eti
Habari zenu wana JF Jamani mwenzenu Kuna Tusuruali twangu tutatu tweusi tunazidi kupauka... Nataka ziwe nyeusi zing'ae Kama zamani... Nifanyaje eti
Nyangwada Senior Member Sep 21, 2017 143 183 Nov 7, 2017 #2 Kanunue rangi za mkeka uloweke! zitatoka mpyaaaaa
Madame S JF-Expert Member Mar 4, 2015 17,172 34,282 Nov 7, 2017 #3 Nyangwada said: Kanunue rangi za mkeka uloweke! zitatoka mpyaaaaa Click to expand... Hizi za kushonea miswala?? Umewah kutumia ikafaa??
Nyangwada said: Kanunue rangi za mkeka uloweke! zitatoka mpyaaaaa Click to expand... Hizi za kushonea miswala?? Umewah kutumia ikafaa??
Nyangwada Senior Member Sep 21, 2017 143 183 Nov 8, 2017 #4 Madame S said: Hizi za kushonea miswala?? Umewah kutumia ikafaa?? Click to expand... kuna kaka angu muuza mitumba huwa anazitumia
Madame S said: Hizi za kushonea miswala?? Umewah kutumia ikafaa?? Click to expand... kuna kaka angu muuza mitumba huwa anazitumia
Ambilikisye anna JF-Expert Member Oct 2, 2017 561 499 Nov 8, 2017 #5 Na nguo ikiwa imepauka ya bluebahari nayo inakuwaje inawezekana kurudi ktk rangi yake ya zamani?
Brother Malcom Senior Member Oct 27, 2015 112 488 Nov 12, 2017 #6 Nyangwada said: Kanunue rangi za mkeka uloweke! zitatoka mpyaaaaa Click to expand... Zinapatikana wap hizo rangi za mkeka mkuu?
Nyangwada said: Kanunue rangi za mkeka uloweke! zitatoka mpyaaaaa Click to expand... Zinapatikana wap hizo rangi za mkeka mkuu?
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,017 94,059 Nov 12, 2017 #7 Nenda sagulasagula utapata 'serewili' za bei chee kuliko gharama ya kupika suruali katika mirangi ambayo itakuja kuchuja baadaye
Nenda sagulasagula utapata 'serewili' za bei chee kuliko gharama ya kupika suruali katika mirangi ambayo itakuja kuchuja baadaye
TzComedy JF-Expert Member Jul 15, 2017 890 700 Nov 12, 2017 #8 brian filbert said: Zinapatikana wap hizo rangi za mkeka mkuu? Click to expand... Kawaulize washona mikeka.
brian filbert said: Zinapatikana wap hizo rangi za mkeka mkuu? Click to expand... Kawaulize washona mikeka.
bigmind JF-Expert Member Oct 28, 2015 12,457 12,668 Nov 12, 2017 #9 Kitambazi Abdul said: Habari zenu wana JF Jamani mwenzenu Kuna Tusuruali twangu tutatu tweusi tunazidi kupauka... Nataka ziwe nyeusi zing'ae Kama zamani... Nifanyaje eti Click to expand... Nunua mpya tuuh..! Au kazilowe kwenye lami...
Kitambazi Abdul said: Habari zenu wana JF Jamani mwenzenu Kuna Tusuruali twangu tutatu tweusi tunazidi kupauka... Nataka ziwe nyeusi zing'ae Kama zamani... Nifanyaje eti Click to expand... Nunua mpya tuuh..! Au kazilowe kwenye lami...
bigmind JF-Expert Member Oct 28, 2015 12,457 12,668 Nov 12, 2017 #10 Watu8 said: Nenda sagulasagula utapata 'serewili' za bei chee kuliko gharama ya kupika suruali katika mirangi ambayo itakuja kuchuja baadaye Click to expand... Wapi nami nataka aisei..
Watu8 said: Nenda sagulasagula utapata 'serewili' za bei chee kuliko gharama ya kupika suruali katika mirangi ambayo itakuja kuchuja baadaye Click to expand... Wapi nami nataka aisei..
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Nov 15, 2017 #12 Watu8 said: Nenda sagulasagula utapata 'serewili' za bei chee kuliko gharama ya kupika suruali katika mirangi ambayo itakuja kuchuja baadaye Click to expand... Hahahahaha wewe nawe .
Watu8 said: Nenda sagulasagula utapata 'serewili' za bei chee kuliko gharama ya kupika suruali katika mirangi ambayo itakuja kuchuja baadaye Click to expand... Hahahahaha wewe nawe .