Msaada: Jinsi ya kufanya massage

kichakaa man

JF-Expert Member
Oct 20, 2011
5,500
5,163
Habari zenu wadau,

Bila kupoteza muda mimi naomba msaada tu kupewa darasa la kufanya massage kwa ajili ya kutoa uchovu na kumpa raha mpenzi wangu. Nimeamua kuomba huu msaada kwa sababu tupo mbali na mjini kwenye huduma za massage kwahiyo kazi na mihangaiko yetu naona ni bora kujua hii huduma ya massage ili awe mwepesi kimwili na kiakili (najua naye nitamuelekeza asome ili afanye na kwangu pia) lakini najua kiafya pia massage ni tiba nzuri.

Naomba kutanguliza asante
 

Nilidhani ni message kumbe ni massage.

Ukijua ulete mrejesho hapa na sisi tujue.
 
Inanoga kuangalia kwa macho kuliko kuandikiwa... imagine mtu si ataandika gazeti...lol

Na pia atachagua inayomvutia ndio maana sikuhangaika kumuwekea link.

Mimi nilijifunza huko huko zamani.
Haha haaaaa ulijifunza ili ujifanyie au umfanyie nani? Nilekeze massage parlor yako nije
 
Ungekuwa mwanamke ningekufundisha. Bure kabisa.

Tunatoa kozi kwa wadada, umri Ni chin ya miaka 25.

Wote mnakaribishwa
 
Nilishawahi kuuliziaga mafuta ya massage dukani, kuna mdada alishtuka kwa mshangao na kuanza kuniangalia kwa makin sana hadi leo najiuliza ule mshangao n wa nn!!
 
Habari zenu wadau . bila kupoteza muda mim naomba msaada tu kupewa darasa la kufanya massage kwa ajili ya kutoa uchovu na kumpa raha mpenzi wangu . nimeamua kuomba huu msaada kwa sababu tupo mbali na mjini kwenye Huduma za massage kwahiyo kaz na mihangaiko yetu naona ni bora kujua hii Huduma ya massage ili awe mwepesi ki mwili na kiakili (najua naye ntamuelekeza asome ili afanye na kwangu pia) lakin najua kiafya pia massage ni tiba nzuri .

Naomba kutanguliza asante

Mtafute Kasie PM atakupa maelezo ya kutosha
 
Nilishawahi kuuliziaga mafuta ya massage dukani, kuna mdada alishtuka kwa mshangao na kuanza kuniangalia kwa makin sana hadi leo najiuliza ule mshangao n wa nn!!
yani kazi zake yal ukijiongeza ndo mana muuza duk alikukadilia kma kwel unaend kuyafanyia massage
 
Nunua oliver oil akitoka kuoga basi alale kifudifudi mpake mafuta anzia kiunoni ukipanda kwa juu poleee poleee huku story mwanzo mwisho

massage kwa kwenda juu hadi shingoni

yaani ona hapa mikono yako fanya hivi vile vidole gumba vikutane pale kwenye sijui ndo uti wa mgongo then fata utaratibu unapanda na kushuka

alilala wewe unaweza kumkalia chini ya matako kidogo yaan kama vile umembana kwenye mapaja yako then hapo utapata balance unaanza massage pole pole stori weee baada ya nusu saa alishasinzia longiiiiiiii time.
 
Kusingwa sindo kukandwa na mafuta zipo za aina nyingi kwa matokeo tofauti japo zote ni tiba nzurii...siwezi elezea hapa! Sana mafuta mazuri ni olive oil, na yanazi especial ulitengeneza ww ukaweka iliki kidogo ili yawe na harufu nzurii kwa maelezo zaidi wahi YOU TUBE
NB: mafuta yako mengi hayo ni common tuu na mazuri pia
 
Nunua oliver oil akitoka kuoga basi alale kifudifudi mpake mafuta anzia kiunoni ukipanda kwa juu poleee poleee huku story mwanzo mwisho

massage kwa kwenda juu hadi shingoni

yaani ona hapa mikono yako fanya hivi vile vidole gumba vikutane pale kwenye sijui ndo uti wa mgongo then fata utaratibu unapanda na kushuka

alilala wewe unaweza kumkalia chini ya matako kidogo yaan kama vile umembana kwenye mapaja yako then hapo utapata balance unaanza massage pole pole stori weee baada ya nusu saa alishasinzia longiiiiiiii time.
Lahaula!! kumbe nna wajina humu
 
Back
Top Bottom