JOSEPHAT_07
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 290
- 162
Jama wadau naombeni msaada, nimemuombea mdogo wangu kozi za afya nimemaliza, nataka pia nimuombee na kozi zingene za ualimu, lakini nashindwa
Nataka nimuombee na kozi zingine za sayansi katika chuo cha DIT lakini nashindwa msaada tafadhaliJama wadau naombeni msaada, nimemuombea mdogo wangu kozi za afya nimemaliza, nataka pia nimuombee na kozi zingene za ualimu, lakini nashindwa