jamani nimemaliza diploma ya procurement nataka nitume maombi ya ku volunteer ktk halmashauri,hospital nk. Msaada wangu jinsi ya kuandika na je nitumie lugha gani?
jamani nimemaliza diploma ya procurement nataka nitume maombi ya ku volunteer ktk halmashauri,hospital nk. Msaada wangu jinsi ya kuandika na je nitumie lugha gani?
Kabla ya kuomba msaada fikiria hata kidogo sometimes watu wanaweza kukujibu ovyo si kwa kukusudia.Kama wewe una diploma na umezaliwa Tz,unataka kusema hujui lugha za mawasiliano zinazotumika huko unakotaka kuomba maofisini?kama huna uhakika ni lugha gani fika kwenye hizo ofisi uwaulize.Otherwise kama ni halmashauri ni bora kiswahili kuliko kingereza.Ila kiswahili ni kigumu,CV kwa kiswahili inaitwaje vile?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.