mogberth Member Joined May 1, 2016 Posts 29 Reaction score 13 May 2, 2016 #1 Naomba kujua namna ya ku-upgrade simu yangu Halotel H8501 kwenye settings hamna sehemu ya ku-update
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,226 Reaction score 44,225 May 2, 2016 #2 kwanini usiwaambie waliokuuzia? ni jukumu la halotel kukupa wewe support ya simu yako na majibu unayohitaji
kwanini usiwaambie waliokuuzia? ni jukumu la halotel kukupa wewe support ya simu yako na majibu unayohitaji
mogberth Member Joined May 1, 2016 Posts 29 Reaction score 13 May 2, 2016 Thread starter #3 Chief-Mkwawa said: kwanini usiwaambie waliokuuzia? ni jukumu la halotel kukupa wewe support ya simu yako na majibu unayohitaji Click to expand... Haina shida kwasababu wapo haina tabu
Chief-Mkwawa said: kwanini usiwaambie waliokuuzia? ni jukumu la halotel kukupa wewe support ya simu yako na majibu unayohitaji Click to expand... Haina shida kwasababu wapo haina tabu