Mr dark light
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 298
- 253
Wakuu
Najua ni wazima kabisa wazee wa tech naomba msaada wenu jinsi ya ku track simu kwa kutumia imei number ya simu husika, simu imeibiwa kwa mazingira ya kufikirisha kidogo msaada tafadhali, wakat police wanaendelea na uchunguzi na mm nataka nifanye yangu
Najua ni wazima kabisa wazee wa tech naomba msaada wenu jinsi ya ku track simu kwa kutumia imei number ya simu husika, simu imeibiwa kwa mazingira ya kufikirisha kidogo msaada tafadhali, wakat police wanaendelea na uchunguzi na mm nataka nifanye yangu