abdulh iddy
Senior Member
- May 28, 2015
- 159
- 6
Habari, ni matumain yangu mmeamka salama na wazima wa afya, nilikuwa naomba kujuzwa jinsi ya kuambatanisha hoja yako na picha. Kuattachment kunanisumbua sana.
Msaada wenu jaman
Msaada wenu jaman