abdulh iddy
Senior Member
- May 28, 2015
- 159
- 6
Habari, ni matumain yangu mmeamka salama na wazima wa afya, nilikuwa naomba kujuzwa jinsi ya kuambatanisha hoja yako na picha. Kuattachment kunanisumbua sana.
Msaada wenu jaman
Msaada wenu jaman
Habari, ni matumain yangu mmeamka salama na wazima wa afya, nilikuwa naomba kujuzwa jinsi ya kuambatanisha hoja yako na picha. Kuattachment kunanisumbua sana.
Msaada wenu jaman
Nenda kweny option ya replay then angalia kwa chini sign ya frame ya pic then nenda library choose your pic then apload that it
Note
Lkn inategemea na aina ya mobile unayo tumia
Angalia screenshot hizi hapa chini, weka mouse juu ya picha ili uione kwa ukubwa wake
View attachment 272625
View attachment 272626
Cm yako inatumia mouse sio! Acha upifimbi ww
oooohhhhhhhhh nisamehe sana mkuu
asnt kwa maelekez mazuri hata mm nimejuwa leo