Msaada, jinsi y a kupata TIN namba

Msaada, jinsi y a kupata TIN namba

Cathelin

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,071
Reaction score
3,997
Wakuu hope mko poa.

Nimeanzisha bihashara mwezi wa kwanza, mtaji ni 2m.(Duka la rejareja)

Sasa nilipo kuna demand kubwa ya vinywaji lakini sina friji, nilienda Bonite kuomba friji, wamekuja kunitembelea na kukuta vigezo ninavyo vya kupewa friji.

Sasa kigezo cha mwishl ni kuwa na TIN number, mie TIN number sina, afu nilikuwa nimesubiri kitambulisho cha Magufuli, sitaki kulipa TRA.

Wakuu TN number naipatia wapi? Ni bank au TRA, afu je nikishakuwa na TIN number mpaka nikate kubali cha bihashara?

Nina shida sana na friji.

Location-Arusha.
 
Issue siyo TIN Number, Kwasababu TIN NUMBER ukiitaka unaipata ndani ya masaa mawili tu.

Nadhani kinachokupa confusion ni masuala ya kodi.

Hujui je, ukishapata TIN NUMBER utalipa kodi kivingine wajati wewe ungependa utumie kitambulisho cha machinga ???!!!

Hapo ndipo panapohitaji ufafanuzi nadhani.
 
Kwa kifupi na bila kukwepa...
Nenda Ofisi za TRA usajili biashara ndogo upate TIN no.

Usiogope kulipa kodi mbona waTZ takriban wote tunakatwa na kulipa kodi. Mwisho wa siku hiyo kodi ndiyo inakulinda na inerejea kwako hapohapo hujenga taifa lako mwenyewe.
 
Nenda TRA

Kama upo Rungwe tegemea kupata ndani ya siku mbili.

Siku ya kwanza Ni LAZIMA network isumbue.
 
Wakuu hope mko poa.

Nimeanzisha bihashara mwezi wa kwanza, mtaji ni 2m.(Duka la rejareja)

Sasa nilipo kuna demand kubwa ya vinywaji lakini sina friji, nilienda Bonite kuomba friji, wamekuja kunitembelea na kukuta vigezo ninavyo vya kupewa friji.

Sasa kigezo cha mwishl ni kuwa na TIN number, mie TIN number sina, afu nilikuwa nimesubiri kitambulisho cha Magufuli, sitaki kulipa TRA.

Wakuu TN number naipatia wapi? Ni bank au TRA, afu je nikishakuwa na TIN number mpaka nikate kubali cha bihashara?

Nina shida sana na friji.

Location-Arusha.
Kama una NIN ingia ujisajiri kwa ajili ya kupata TIN ni bure https://ots.tra.go.tz/

Utapata softcopy ya certificate ya TIN, kisha nenda nayo TRA kapangiwe kuwango cha kulipa kodi kulingana na mtaji wako.

NB; HAKIKISHA UMEFANYA MAAMUZI SAHIHI BILA WOGA.

Lazima uende na mkataba wa pango/fremu ukiwa safi bila kufutwa futwa, ukimaliza unapewa hapo hapo original TIN.

Mchezo haujasisha, nenda manispaa kamalizie mchakato wa leseni ya biashara, hapo lazima ulipe jipange

Kuhusu kitambulisho cha machinga sifahamu.
 
Yaan sa hv acha tu ujanja ujanja utakuja ufinywe mpak utajilaumu ..... lipa kodi mzee .....
 
Wakuu hope mko poa.

Nimeanzisha bihashara mwezi wa kwanza, mtaji ni 2m.(Duka la rejareja)

Sasa nilipo kuna demand kubwa ya vinywaji lakini sina friji, nilienda Bonite kuomba friji, wamekuja kunitembelea na kukuta vigezo ninavyo vya kupewa friji.

Sasa kigezo cha mwishl ni kuwa na TIN number, mie TIN number sina, afu nilikuwa nimesubiri kitambulisho cha Magufuli, sitaki kulipa TRA.

Wakuu TN number naipatia wapi? Ni bank au TRA, afu je nikishakuwa na TIN number mpaka nikate kubali cha bihashara?

Nina shida sana na friji.

Location-Arusha.
Vile vile huna leseni ya biashara
 
Back
Top Bottom