Jino hakuna dawa ya kienyeji itakutibu upone.
Unachofanya unatuliza tu Ila Kama ni jino la juu badlisha upande wa kutafunia
Nenda hosptali either walitoe au walizibe Kama limeliwa na wadudu au wakate miashipa .
Dawa za kituliza maumivu ya jino
Mkojo wa Ahsubui
Maji ya chumvi
Kuswaki kabla ya kulala
Tumia Colgate
Tumia diclop