silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,622
- 2,379
Mkuu huo msafara ulikuwa unatoka unakokwenda au ulikuwa unakwenda unakokwenda?
Kwa kusema hivyo labda taa zako ziliwapiga usoni, pia lazima uliwashtua wakadhani unataka kuingia barabarani,
Nadhani unakumbuka kifo cha Sokoine kilitokeaje