Hildafranc
Senior Member
- Jan 29, 2015
- 103
- 31
Habari zenu wadau,poleni na najukumu.
Naomba nipate utalaamu wenu katika hili wadau,nimemaliza dozi ya U.T.I na nimepona ni vipi nikikutana na mume wangu kimwili anaweza kuniambukiza ingawa yeye hana dalili yeyote ya U.T.I. au aende hospital kwanza akapime na yeye?
Naomba nipate utalaamu wenu katika hili wadau,nimemaliza dozi ya U.T.I na nimepona ni vipi nikikutana na mume wangu kimwili anaweza kuniambukiza ingawa yeye hana dalili yeyote ya U.T.I. au aende hospital kwanza akapime na yeye?