Msaada: Je matatizo yaliyokuwepo KIU yameisha?

Msaada: Je matatizo yaliyokuwepo KIU yameisha?

Mseti athuman

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2016
Posts
203
Reaction score
150
Habarini wakuu,
Naomba kuuliza, Je Chuo cha Kampa matatizo ya usajili yameisha?
 
Jaman chuo cha kampala medicine anaefaham anisaidie kimesajiliwa
 
Hicho chuo kina majanga sana ndg yangu nakushaur usiende ila kama unapenda usumbufu wa kila wakati kusimamishwa mara kufungiwa nenda
 
Hicho Chuo kwenye Department ya Medicine kuna utata na Nacte hasa suala la madarasa na Vifaaa Tafuta Kingine
 
karibu sana KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY,SCHOOL MEDICINE SIYE TWAPIGA KITABU
 
Na vipi kwa bachelor of medical laboratory science pamekaaje? Maana vyuo vingine Muda wa masomo unapishana sana na hiki chuo hili nalo lipoje? Wenye ufafanuzi mzuri atujuze
 
Habarini wakuu,
Naomba kuuliza, Je Chuo cha Kampa matatizo ya usajili yameisha?

Duh kuna watu mna roho ngumu aisee,yaani bado mna Moyo wa kwenda kusoma hiko chuo chenye kila aina ya majanga tena kwa utawala huu wa Magufuli chini ya mama Ndalichako?.
 
kampala wanajenga bonge La hospital Kile chuo kitakua balaaa baadae sio siri wadau.
 
Hicho Chuo kwenye Department ya Medicine kuna utata na Nacte hasa suala la madarasa na Vifaaa Tafuta Kingine
Bachelor ya medicine na nacte vinauhusiano gani ? Madarasa yamefanyaje ?? ,, kama ni madarasa KIU yamepo mengi mpaka mengine hayatumiki ,,, vifaa gani ?? Kama nivifaa vya maabara vipo vyakutosha ,,, kama ni malecture wapo wakutosha ,, hospital kubwa ipo inajengwa na kwa inavyoenda kasi kufikia mwakani nazani itakuwa imekamilika,,, sikatai kuwa kuna mapungufu ila sio kiivyo sasa mnavyosema nyinyi ,, wengine mnasikia maneno ya mtaani tu hata kufika KIU mkajionea bado , na mdogo wangu anasoma pale anapiga shule kama kawa tu ,, mie huwa namuita daktari mtarajiwa ,, Kijana nenda kapige shule ,,, usikilize maneno ya watu ,,
 
Back
Top Bottom