Gershom Asajile
New Member
- Sep 27, 2012
- 1
- 0
Great thinkers naombeni mnisaidie jamani.
Nimlimaliza secondari mwaka jana nikapata div 4 ya 26.
English - c
bios - c
math- f
kisw- d
[phys- d
chem- d
geog- d
civ- d
history - d.
Shida yangu kubwa nimejaribu kuapply
vyuo vya afya na arusha tec nimekosa nafasi.
Je, nyie kama wadau wa elimu kwa hizo marks zangu hapo juu
nijaribu chuo gani kingine ambacho hadi sasa kinaweza kunipokea
siyo hadin mwakani kwasababu nimechoka kukaa nyumbani.
Nashukuru kwa kusoma ombi langu
naomba msaada wenu wa mawazo.
Nimlimaliza secondari mwaka jana nikapata div 4 ya 26.
English - c
bios - c
math- f
kisw- d
[phys- d
chem- d
geog- d
civ- d
history - d.
Shida yangu kubwa nimejaribu kuapply
vyuo vya afya na arusha tec nimekosa nafasi.
Je, nyie kama wadau wa elimu kwa hizo marks zangu hapo juu
nijaribu chuo gani kingine ambacho hadi sasa kinaweza kunipokea
siyo hadin mwakani kwasababu nimechoka kukaa nyumbani.
Nashukuru kwa kusoma ombi langu
naomba msaada wenu wa mawazo.