abiudy caleb
Member
- Jul 22, 2011
- 8
- 0
jaman wana jf simu yangu samsung galaxy mini nilikua nimeiweka chaji then baada ya masaa kama maiwili kuigusa nikakuta imekua ya moto sana then nikaizima ili ipoe, baada ya mda kidogo nikajaribu kuiwasha ikagoma kuwaka.msaada jaman mwenzenu nimekwama.