Msaada jamani wa haraka

Hiyo hofu na kutegesha ili u conceive ni sababu tosha ya mimba kutoshika hata kama nyote mko fit.
Relax mamy na kila kitu kitakuwa sawa,ni mapema mno hata hivyo.
 
Hapo yawezekana hizo dawa za kuzuia mimba ulizozitumia mwanzoni bado zinafanya kazi hadi sasa cha muhimu kaa na mumeo mueleweshane juu ya tatizo lililopo na msubiri hadi hapo dawa zitakapoisha mwilini.
 
Asante sana kwa ushauri wako ndugu yangu
 
Hiyo hofu na kutegesha ili u conceive ni sababu tosha ya mimba kutoshika hata kama nyote mko fit.
Relax mamy na kila kitu kitakuwa sawa,ni mapema mno hata hivyo.

Dah hvi kweli?Asante sana kwa ushauri tena sana
 
Hapo yawezekana hizo dawa za kuzuia mimba ulizozitumia mwanzoni bado zinafanya kazi hadi sasa cha muhimu kaa na mumeo mueleweshane juu ya tatizo lililopo na msubiri hadi hapo dawa zitakapoisha mwilini.
Hzo dawa zinachukua muda gani kuisha mkuu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…