mi nina tatizo la uume wangu kuwa mdogo.mda mwingine naona hata aibu kufanya mapenzi na msichana.juzi juzi 2 nimekataa kufanya mapenzi na demu wangu kwa kutoa visingizio kibaaao.nisaidieni ndugu zangu kwa namna yoyote ile.[/QUOTE
Kaka.!!, Sikia kama ishu yako ni chini ya "ichi tatu (3) baada ya kusimama (erection) hapo ndio itakuwa tatizo, lakin kama ni ichi tatu au zaidi nakutia moyo uko poa tuu na unaweza gusa "angle" zote za jinsia ya pili, kwani zao si zaidi ya ichi tatu...
mi nina tatizo la uume wangu kuwa mdogo.mda mwingine naona hata aibu kufanya mapenzi na msichana.juzi juzi 2 nimekataa kufanya mapenzi na demu wangu kwa kutoa visingizio kibaaao.nisaidieni ndugu zangu kwa namna yoyote ile.[/QUOTE
Kaka.!!, Sikia kama ishu yako ni chini ya "ichi tatu (3) baada ya kusimama (erection) hapo ndio itakuwa tatizo, lakin kama ni ichi tatu au zaidi nakutia moyo uko poa tuu na unaweza gusa "angle" zote za jinsia ya pili, kwani zao si zaidi ya ichi tatu...
Hapana c chini ya inchi tatu
yaani ni kidogo kidogo kweli sio masiara hata ungekuwa wewe mzizimkavu na wewe father ni lazima mngeona aibu 2