msaada jamani picha zangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,305
13,265
heshima kwenu wakuu.nina camera aina ya hp r817,ambayo niliitumia kupigia picha,na ina memory card ya 4GB,Cha ajabu nimetaka kuzihamishia hizo picha kwenye laptop,kwa ku2mia CARD READER-SDHC,kwani camera yenyewe haina sehemu ya kuchomekea usb cable,ni lazima utumie card reader,cha ajabu niki connect kwenye computer ina detect fresh,na memory card inaonekana ila haifunguki!!ili niweze kuzi copy picha,nimejaribu kuiscan ina scan ila haionyeshi kama kuna virus! ila ukiiweka kwenye camera picha zote zinaonekana!Tatizo litakuwa nini?NAOMBENI MSAADA KWANI PICHA ZENYEWE NI ZA UKUMBUSHO!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna virus anaitwa Recycle.exe ndo aliyesababisha hiyo situation kama sikosei !!
Unatumia windows gani ?
 
kabla ya kuconclude ni virus hakikisha umefanya haya

1. Software ya digital camera yako imekua installed kwenye pc yako

2. Umetumia software za picha kama picassa kufungulia hio card reader na sio default image viewer ya window
 
siimple,, tafuta kebo na cd ya hiyo camera,, au allow hidden files kwenye laptop yako ukiweka hiyo card utaziona,, zinakuwemo ila kama hidden files,,,,
 
kabla ya kuconclude ni virus hakikisha umefanya haya

1. Software ya digital camera yako imekua installed kwenye pc yako

2. Umetumia software za picha kama picassa kufungulia hio card reader na sio default image viewer ya window

Chief card reader mpaka madude yote hayo?
 
Chief card reader mpaka madude yote hayo?

Hizi digital zina mtindo wa kuhide picha zao kwenye memory card ndo mana hata jamaa juu amesugest uchange setting ioneshe hiden files.

1.utakapoeka software ya hio digital ilokuja na cd image zitakua detected

2. Ukitumia soft like picassa zimekua programed ziditect
 
kabla ya kuconclude ni virus hakikisha umefanya haya

1. Software ya digital camera yako imekua installed kwenye pc yako

2. Umetumia software za picha kama picassa kufungulia hio card reader na sio default image viewer ya window
thanx, kamanda nimefanikiwa kwa kutumia picassa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!kweli jamani jf ni zaidi ya chuo kikuu cha havard!hakuna uchoyo mambo yote hadharani,
 
Back
Top Bottom